Recent content by ramavice

  1. R

    Naomba kutolewa ushamba

    Tbt ni kwa ajili ya siku ya Alhamis na huwez eka picha jumatano ukaandika tbt ila jumatano utaandika wcw na jumatatu utaandika mcm jumanne ukiandika rtt!
  2. R

    Haya ndiyo Majina ya wagombea wa nafasi za uongozi Taifa ACT- Tanzania

    Hakuna kiongoz yoyote ambaye hajalipwa mafao yake labda kama hujui maana ya mafao sema uelimishwe
  3. R

    Kwanini Mpendazoe hakupewa mafao Zitto apewe?

    SheriA za mafao zipo kwenye mifuko ya hifadhi hata mpendazoe naamini kapata mafao ya makato ya mshahara wake hili si suala la kujadili mafao ni haki ya mtu
  4. R

    Mambo matatu ya kurekebisha ndani ya CHADEMA

    Baba hapo umechukulia maeneo ambayo Chadema ina wabunge tuu umeshindwa kuona kua kuna watu walipiga harakati kabla ya hayo makabila mf. WapembA na Wazanzibar tangu 1987 walipoanza kudai vyama vingi au uwezo wa kabila kuendesha chama unapimwa kwa kua CDM?
  5. R

    Tundu Lissu na Mchungaji Msigwa, acheni chuki za kitoto kwa Zitto

    Unampa mkono msaliti? Ili iweje? Acha ufala joo Usaliti wake si sababu ya kupoteza ubinadam wake na utu wake
  6. R

    Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA, Zitto Kabwe ahamia rasmi ACT Tanzania

    Good luck bro Zzk huko uendako nna uhakika ACT itang'aa
Back
Top Bottom