Kuna tofauti kubwa sana kati ya wanachama na mashabiki,hata simba na yanga wana mashabiki wengi sana kuliko wanachama,leo ukisikia simba au yanga wana mkutano mkuu kwa maana ya wanaotakiwa kuingia ni wanachama tu,utashangaa utakuta kuna wanachama wengi sana 700,ndo wanaoamuzi makubwa ya...
Mimjh nilikua team lowasa sana,lakini safari yangu ya matumaini imeirhia hapa baada 2 kumpata john,ambaye pia namkubali sana,so kama ataamua kwenda huko atakako aende salama lakini sisi huko hatuko nae.namshauri atulie atafakari kwa kina kwa manufaa 2 kulinda heshima yake!hawa wapambe wanaoamka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.