Recent content by ramadhani msengi

  1. R

    Uzinduzi wa Internet ya Halotel Kwa Shule za Sekondari Tanzania

    We upo wapi?minara imejengwa nch nzima hasa vijijini
  2. R

    Linganisha picha ya UKAWA na CCM Mbeya jijini

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya wanachama na mashabiki,hata simba na yanga wana mashabiki wengi sana kuliko wanachama,leo ukisikia simba au yanga wana mkutano mkuu kwa maana ya wanaotakiwa kuingia ni wanachama tu,utashangaa utakuta kuna wanachama wengi sana 700,ndo wanaoamuzi makubwa ya...
  3. R

    Zaidi ya wagombea 30 ubunge wa CCM waliopitishwa kujiunga na UKAWA Jumamosi

    Wekeni majina kama mna uhakika,hi sheria xma mitandao ndo itakua suluhirio kwa wale wajinga wajinga
  4. R

    DC wa Kinondoni(Makonda) yupo anamsimanga Lowassa

    Kwani nyie hamjui kama ma dc ni makada wa ccm jamani,
  5. R

    Tundu Lissu ameanza kuishi kwa uwongo na udanganyifu!!

    Chezea hela baba!el ameshawaweka kwenye 18 zake,hakuna wa kuchomoka.
  6. R

    Alhaji Mussa Salum: Mwezi haujaonekana

    Wale wanaosali uganda ni kama wa hapa
  7. R

    Hongera Makonda, umeonesha njia!

    Nyie inawahusu nini mbona mnatoa maneno ya kejeli,mwacheni afanye,mtieni moyo,akishindwa ndo mtatoa yenu moyoni,kwa sasa tupe nae pamoja
  8. R

    Wana CCM wachoma kadi Monduli na Arumeru

    Mimjh nilikua team lowasa sana,lakini safari yangu ya matumaini imeirhia hapa baada 2 kumpata john,ambaye pia namkubali sana,so kama ataamua kwenda huko atakako aende salama lakini sisi huko hatuko nae.namshauri atulie atafakari kwa kina kwa manufaa 2 kulinda heshima yake!hawa wapambe wanaoamka...
Back
Top Bottom