Recent content by Ramaa21

  1. Ramaa21

    Tuambiane kuhusu biashara ya Car Wash

    Nataka nianzishe biashara ya kuosha magari, bajaji, boda boda n.k aina ya CAR WASH ila kabla sijaanza inanibidi nifanye utafiti kuhusu biashara naomba kwaa aliye na uzoefu na hilo aniambie faida na hasara zake. Na vifaa vinavyohitajika ili isimame hii biashara.
  2. Ramaa21

    Nadhifu dry cleaner, tunafua nguo aina zote

    Bei zetu ni simple t bro tupo kwenye season ya offer kimfano shati 500. Suruali 500 kufua only
  3. Ramaa21

    Nadhifu dry cleaner, tunafua nguo aina zote

    Tunafua nguo za aina zote, Tupo Chanika Mwisho, Dar es Salaam. Karibu sana.
  4. Ramaa21

    Nahitaji kujua ujenzi mzuri wa mabanda ya kuku

    Nilikuwa nahitaji hata picha
  5. Ramaa21

    Nahitaji kujua ujenzi mzuri wa mabanda ya kuku

    Kuku 50 au 100. Aina ya kuku ni wa kisasa pamoja na kienyeji naitaji banda la mbao
  6. Ramaa21

    Nahitaji kujua ujenzi mzuri wa mabanda ya kuku

    Habari zenu wana JF naomba kujua jinsi ya kutengezenez banda la kufugia kuku kuanzis vifarangs mpka wakubwa.
  7. Ramaa21

    Mwenye uzoefu na biashara ya dry cleaner

    Namuitaji mtu mwenye uzoefu na biashara ya dry cleaner nipate mawili matatu kutoka kwake
  8. Ramaa21

    Habari zenu jamani nataka kujua ni company gan ni zuri ya mashine za kufulia

    Wana Jf naomba kujua kati ya west point, samsung, LG na hisense ipi company ya mashine za kufulia au in general kampuni gan inatisha kweny vifaa vya electronics
Back
Top Bottom