Wana jamii ,
namalizia jitihada za kuitafuta diploma ya civil engineeri at (must) mwezi wa nane,
kama kuna kampun inahtaji technician
naomba mnifahamishe ili niaply.
Namaliza mngwe yangu ya kuisaka kwa udi na uvumba diploma ya civil engineering mwezi wa nane
wana jamii ,
nawaomba kama kuna company ina hitaji technician anipe taarifa ili ni aply
Hv ngwair na daz baba nani mkongwe kwenye game na album ya kwanza ya ngwair imetoka mwaka gani na album ya daz baba imetoka mwaka gani na nyimbo zao za kwanza zimetoka mwaka gani ??kama geto langu ya ngwair imetoka 2003 je??? ya daz baba imetoka mwaka gani???
Nataka kujua nyimbo ya kwanza ya dazbaba imetoka mwaka gani???? Na kati ya ngware na daz baba nani wa kwanza kurelease nyimbo na ilikuwa mwaka gani na albumu ya kwanza ya mangware ilitoka mwaka gani kama ya daz baba ilitoka 2005 Na nyimbo ya kwanza ya mangware ilitoka 2003 Geto langu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.