Recent content by Rama7

  1. R

    Weighbridge Operator, Kibaha

    kwa wale walofanya written tareh 26 simu zimeanza kupigwa Leo kwa ajiri ya oral.. usikae mbali na CMU yako...oral itakuwa 13 na kumi na NNE
  2. R

    Technician

    Tecnician
  3. R

    Diplomaa of civil engineering

    Kwa alieskia sehemu kunahitajika technician of civil engineering anijuz
  4. R

    Diploma

    wanajamii kama kuna mtu ameckia kuna kampuni inahitaji technician wa civil anijuze maana huu msoto ni nooma
  5. R

    Civi engineering

    Thanks...kwa ushaul wako
  6. R

    Civi engineering

    Wana jamii , namalizia jitihada za kuitafuta diploma ya civil engineeri at (must) mwezi wa nane, kama kuna kampun inahtaji technician naomba mnifahamishe ili niaply.
  7. R

    Civil engineering

    Namaliza mngwe yangu ya kuisaka kwa udi na uvumba diploma ya civil engineering mwezi wa nane wana jamii , nawaomba kama kuna company ina hitaji technician anipe taarifa ili ni aply
  8. R

    Ngwair na daz baba

    unamaanisha.... Wife ndo nyimbo ilowatoa??????
  9. R

    Ngwair na daz baba

    Nijuzeni wadau
  10. R

    Ngwair na daz baba

    Hv ngwair na daz baba nani mkongwe kwenye game na album ya kwanza ya ngwair imetoka mwaka gani na album ya daz baba imetoka mwaka gani na nyimbo zao za kwanza zimetoka mwaka gani ??kama geto langu ya ngwair imetoka 2003 je??? ya daz baba imetoka mwaka gani???
  11. R

    Mangware na daz baba

    yah ...kama unafahamu tupia hapo
  12. R

    Mangware na daz baba

    Nataka kujua nyimbo ya kwanza ya dazbaba imetoka mwaka gani???? Na kati ya ngware na daz baba nani wa kwanza kurelease nyimbo na ilikuwa mwaka gani na albumu ya kwanza ya mangware ilitoka mwaka gani kama ya daz baba ilitoka 2005 Na nyimbo ya kwanza ya mangware ilitoka 2003 Geto langu
  13. R

    Maandishi kwenye t-shirt

    Take me u 2 ur bed
  14. R

    Hi!

    lyk me!!!!!!!!!
Back
Top Bottom