Hapo kwenye polisi awe mkuu wa kituo hawa wengine hawana msaada kama huamin siku upate msala ukifika kituon amekukamata askari usiyemfaham ukimfata polisi unayemjua utaskia “we ongea nae tu hana shida”
Bora ufahamiane na mkuu wa kituo tuu
7. Boda au baja
8. Kiongoz wa serikal ya mtaa m/kit...
Katika maisha tujifunze kuwa watu wa mabadiliko na sio watu wa kukomaa na misimamo isiyo na tija kwakuwa misimamo ya namna hii huwa inagharimu sana
Kuna mzee mmoja ana mabinti watano hakubahatika kupata kijana wa kiume sasa kama unavyojua maisha ikatokea siku ya siku binti yake mmoja akaja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.