Binafsi nilikuwa natazama pamoja na wife ,mke wangu akasema unaangalia ujinga huo.Yaani kwanza hawajui hata adhira iliyopo,eti unataja kabisa Mhe.Rais kwenye comedy hata hujui kuwa Ile ni Taasisi nyeti,ni bora hata angetumia njia nyingine kuchekesha kuliko kumtaja Rais.Eti Mhe Rais Kajala...
Niende kwenye hoja yangu moja kwa moja! Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la viwanda katika wilaya ya Mkuranga hususani maeneo ya Kisemvule na Dundani.Kwa namna moja ama nyingine hii ni fursa kwa vijana kupata ajira.
Kutokana na ongezeko hili la viwanda, kumesababisha ongezeko kubwa la watu hada...
Pombe ukiacha haihitaji matangazo,mwaka mmoja mchache sana,kuna jamaa yangu alikaa miaka minne bila kunywa ila sasa hivi amerudi kundini anagida m'ma kama hana akili nzuri.
Ili nchi iwe na akiba nzuri ya fedha za kigeni ni lazima biashara kama hizo ziwepo maana hao wakija wanaacha dollar na nchi inakuwa na Dola za kutosha.
Mkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama katika eneo lake la Utawala,hivyo majeshi yote yaliyopo ndani ya mipaka yake ya Utawala yapo chini yake.Hakupaswa kulalamika mbele ya Rc bali alitakiwa kuwachukulia hatua kama ni kweli au angepeleka taarifa hizo kwa Rc ofisini na si public.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.