Recent content by RafikiElimu

  1. R

    JamiiForums Tanzania Jifunze kutengeneza losheni, manukato & mafuta ya kujipaka.

    Taasisi ya RafikiElimu Foundation, inapenda kuwatangazia vijana wote wa kitanzania, nafasi za kushiriki katika mafunzo ya utengenezaji wa bidhaa mbalimbali. Bidhaa zitakazo fundishwa ni pamoja na UTENGENEZAJI WA MAFUTA YA KUJIPAKA, LOSHENI na MANUKATO. SIFA...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa akitapeli watu mtandaoni kwa jina la RafikiElimu akamatwa Njombe

    HALI BADO NI MBAYA MTWARA....WANAFUNZI WAWILI WAMETANDIKWA RISASI, MMOJA AMEFARIKI HAPOHAPO Mwandishi wetu aliyepo Mtwara ametueleza kuwa hivi sasa baadhi ya wananchi wa eneo la magomeni mkoani mtwara wamekimbilia katika Hospitali ya Mkoa wa Mtwara Lugula wakihofia usalama waokutokana na vurugu...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi albino afukuzwa shule kwa tuhuma za uchawi mbeya.

    ALBINO AFUKUZWA SHULE JIJINI MBEYA KWA MADAI KWAMBA NI MCHAWI Amina Mwamkinga alisema tangu tarehe tisa alipofukuzwa bwenini na wanafunzi wenzie wakitaka aondoke shuleni hapo wakimtuhumu kuwa mchawi majira ya usiku hali iliyomlazimu kuomba hifadhi kwa mlinzi...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Semina ya ujasiriamali jijini arusha

    NAFASI ZA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI JIJINI ARUSHA. RAFIKIeLIMU FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya VISION FOR YOUTH ya Jijini Arusha, wanakuletea SEMINA YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI . Mafunzo yatakayo fundishwa ni pamoja na Utengenezaji wa bidhaa...
  5. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Is someone teaching my wife sex tricks?

    Atakuwa amehudhuria semina kuhusu namna ya kumfurahisha mwanaume, so ana practice.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Tapeli wa nafasi za kazi mtandaoni huyu hapa!

    Baada ya kufanya uchunguzi wetu kwa kushirikiana na jeshi la polisi nchini Tanzania pamoja na Vodacom, hatimaye yule tapeli aliyekuwa anatapeli watu mtandaoni kwa jina la RafikiElimu Foundation, na kuwatoza fedha shilingi elfu tano kila mmoja huku akiwahadaa...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya ufafanuzi kutoka rafikielimu foundation.

    Profile yake inaonyesha, ameshapigwa ban
  8. R

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya ufafanuzi kutoka rafikielimu foundation.

    Tunapitia sana kaka, na tutaendelea kuwa active members wa JF kwa sababu kuna mambo mengi sana ya kujifunza humu.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya ufafanuzi kutoka rafikielimu foundation.

    Sasa hivi tunapatikana, ofisi ipo wazi Jumatatu hadi Ijumaa saa 3 hadi saa 9 kamili alasiri. Simu 0782405936.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya ufafanuzi kutoka rafikielimu foundation.

    Asante sana kaka.
  11. R

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya ufafanuzi kutoka rafikielimu foundation.

    Dear wadau wa JF na watanzania wote kwa ujumla, uongozi wa Taasisi Isiyokuwa ya kiserikali ya RafikiElimu Foundation unapenda kutoa taarifa ya ufafanuzi kuhusu taarifa kadhaa zilizo tolewa dhidi ya taasisi yetu. Siku ya leo, tumesoma taarifa iliyo tolewa...
Back
Top Bottom