Maji ukiyavulia nguo lazima uyaoge , Makonda ktk vita ya kupinga wauzaji na watumiaji wa Ngada tuko pamoja ,, Lakini kama unafanya haya kisiasa kiujanja ujanja kujipatia umaarufu usio na maana Sheria msumeno ikate kote kote , , Serikali iwe makini na Wateule wenye kutaka sifa itawagharimu.
Ukiwa na fikra huru jiandae kuswekwa ndani hata bila sababu za msingi , Hii nchi inaonekana wengine hawapo huru , Uhuru walipata wengine wengine hawajapata.
Huo mti ni mgumu kuliko kawaida Makonda kama unatafuta Kiki ktk hilo hautafanikiwa ila kama umedhamiria kweli fanya kazi isiwe kama ya walimu na daladala.
Huu ni mpango mchafu dhidi ya upinzani , Jaji Mtungi unayemtumikia ana ukomo Mwogopeni Mungu enyi binadamu , Leo hii mnakandamiza haki hapa duniani mnajiona ninyi ndio wamiliki wa hii nchi , Siku zaja ambapo mtashindwa hata kutoka ktk nyumba zenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.