Huyu Said Mwema kazi imemshinda!!! Kwanza ile tume ya kuchunguza madawa ya kulevya kule airport kwa mtoto we Mengi ni uzushi mtupu!! Jeshi limekumbatia mafisadi. Haya; na ili la Arusha ndio limethibitisha kabisaaaaaa!!!!!! Achia ngazi.
Mheshimiwa 6!
Waambie ukweli hao waliokuchakachua! Mwanzo nilitaka kukulaumu kukubali Uwaziri wa Afrika mashariki; kumbe ulikubali ili uwapambane nao kwenye baraza la mawaziri!!! waambie ukweli tuikomboe hii nchi maana Mkwere yupo kimya, kazi kuudhulia birthday, mazishi na matamasha!!!!
Ni vizuri ieleweke wazi kwamba kulikuwa na mkanganyiko wa amri kutoka Polisi juu ya kukatazwa kwa maandamano. RPC na IGP wamejichanganya katika hili.
Ok, amri ya mkubwa ikawa ya mwisho na maandamano yakafanyika; Nguvu iliyotumika inatakiwa kupongezwa na kubeza uongozi wa Chadema?? Kumbuka ni...
Mmmm!!! Jamani hivi kweli ili jambo ni la kikabila kweli?? Watu wanaongelea juu ya wamiliki wa Dowans, Ufisadi wa Richmond, Wabunge wote wa upinzani ni wachaga?? Toa hoja usitafute kudanganya kwa jambo usilolifahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.