Mh. Samweli Sitta: Waziri wa Afrika Mashariki Ameiasi Serikali ya CCM?

Tatizo 6 aliingia nusu nusu ndo maana richmond ikayeyuka. Sijui ni woga au lakini mi simpi kabisa credit coz ana mambo ya kupenda ufahari usio na maana. Kujenga ile ofisi kwake inanipa shiida sana kumwelewa.
 
Sidhani kuna swala la Mhe. Sitta kuasi serikali ya Tanzania. Vilivyo tangazwa na Ngeleja; Kombani; Werema sii maamuzi ya Baraza la Mawaziri bali ni aidha maoni yao wenyewe au ya Wizara wanazoziongoza. Labda hao wakina Ngeleja etc. wana tarajia kuyapeleka hayo mapendekezo ya wizara zao kwenye Cabinet lakini bado hawajafanya hivyo. Kwa maoni yangu Ngeleja amefanya kosa kubwa sana - hawezi kuamua kutangaza kulipa Dowans fedha hizo bila kupata kibali cha Cabinet na Bunge. Waziri Mkullo alikuwa quite right kukataa kutoa idhini ya Treasury kwa malipo hayo. Kwa hiyo Mhe. Sitta ana haki kabisa kuyapinga hayo mawazo ya Ngeleja maana sii msimamo wa Serikali - at least officially. Yatakuwa msimamo wa serikali pale yatakapojadiliwa na kukubaliwa na Baraza la Mawaziri[Cabinet] .
 
Call me names..who gives a hoot?!

Mimi mwenzenu siku zote huwa nina mashaka sana na hizi Sitta's antics, most of the time zina-shroud clandestine motives!

Mi namuona ni power monger na opportunist fulani tu. And please dont gimme that c.r.a.p that he's doing better than most of the rest..that's BS. Shujaa hutambuliwa kwa ushindi na si kwa kuwa eti alikaribia ushindi!

Wengi hatutasahau tulivyougulia kwa uchungu hoja ya Richmond ilivyochinjiliwa baharini bungeni huku Sitta aki-portray "funika kombe mwanaharamu apite" attitude.

Needless to mention mengine mengi including ile demand yake ya kujengewa jengo la spika "kijijini" kwake.. That was madness!

Tuchunge sana..hii vita dhidi ya ufisadi ni kama msururu wa mamba - humo kenge nao hawakosekanagi!!
 
Sita kabanwa na tamaa yake ya kuendelea kula mshahara kwenye serikali dhalimu. Mara nyingi namshangaa sana, huwezi kupingana na mawaziri wenzio nje ya vikao vya baraza la mawaziri, huo uwajibikaji wa pamoja uko wapi?

Ni kweli anayoyasema, ingawa ukweli wote hausemi, lakini swali je, anafikiri hizo kelele zake zinasaidia chochote? Naukumbuka pia ule ujinga wake wa kumsema vibaya Dr. Slaa wakati wa kampeni dhidi ya Mkwere.

Ukweli pekee nilioupata hapa ni kuwa Dowans ina baraka zote za rais kama alivyosema Dr. Slaa. Akina Sita wanapiga kelele kwa kuwa wao hawakuhusishwa na wanaona utakuwa mwiba mkubwa kwao kwenye uchuguzi ndani ya chama 2015. Sita pole sana ingawa kelele zako zinatupa ukweli wa nini rais wako anafanya pamoja na chama chenu dhalimu!
 
Sitta ndo moto mwingine kwa jakaya! Sitta bado hajapona majeraha ya kukosa uspika! Akiwa spika alikuwa hatari, lakini saiv amekuwa bomu la atomiki! Mpaka apone atakuwa ameshailipua ccm vya kutosha, na hii ndo furaha ya wanamabadiliko!
 
SIku zote mwenye kupenda maendeleo ya watu walio chini yake ufanya kila analoweza ilimradi awasaidie watu hao kuweza kufikia maendeleo, Yeye ni mtanzania pia ni kiongozi wa muda mrefu, anayajua matatizo ya watu wake na ndio maana hapendi kukumbatia maovu ya wanachukua chako mapema maana anajua kwa kufanya hivyo mwishowe ataishia pabaya kama wengine wanavyoishia. Ndugu, huyu 6 ni kiongozi shupavu na wengepatikana wengi kama 6, ama kwa hakika nchi yetu isingefikia hatua ya kumwaga damu maana busara zake,heshima yake,utu wake,na huruma yake kwa pamoja vingetumika kuongoza nchi yenye amani na upendo uliobaki katika vinywa vya wanasiasa wanafiki wasemao kwa sauti huku wakimaanisho huwa kinyume chake! I think you're understand what I say!
 
Sitta; ok na sawa kwa unayoongea lakini tunakulaumu sana wewe. Tukikumbuka sakata la Richmond na hatimae Dowans kule bungeni wakati ukiwa spika, naweza tu kusema yafuatayo:
Tulimkaba nyoka shingoni tukakuambia "Sitta umeshika fimbo piga kichwa" ukapiga mkia, tukasema umekosea - "piga kichwa kiko huku", ukatujibu kuwa huyo si nyoka - akaachiwa!!. Sasa hivi huyo nyoka ameshafura amenyanyuka kwa hasira za kuumizwa mkia, kichwa kiko juu; Unatuambia sasa "jamani ni nyoka" nani atamshika?.
Kwa vyovyote kabla nyoka huyu hajashikwa tena na kuuawa lazima naye ataumiza (kuua) wengi. Ilianza Buguruni, sasa Arusha.
Sitta, malalamiko yako sawa lakini unapaswa kukiri hadharani kuwa ulikosea sana huko nyuma!!
Mimi na mwelewa mweshimiwa six mzee wa mapanya ya senegal. Anaakili kuliko wanaccm wengi. Ahapa six anataka watu tuchukuwe hatua tujuwe kwamba tunaibiwa mchana kweupeeee. Kablaa hatujachukuwa hatua six ni mwanasheria atupe evidence za downs ambazo serikali haitaweza kuzikanusha. Naamini six atakuwa shujaa wa kwanza kufanya jambo la kizalendo kama hili.
 
Sitta tatizo huko uliko ndiyo tatizo, achana na Si Si Em.

Uko katika Kichaka cha majizi

Sitta asiondoke ccm kwa sababu tutakosa siri. Na pili wacha awachokonoe kwanza ili abambe kasi ya kuja upinzani. Kama anaweza kuendelea kutofautiana na wana ccm ndani ya ccm ni nzuri zaidi. Wanasema if you can get a milk why keep a cow
 
Daaa!!! Kamakabuzi uko juuuuuuuuuuuuuuuu. Bigup. Ila mzee sita aliliona hilo na ndiyo maana kama unakumbuka alimwambia mzee Jeykei awe mkali kwenye mambo ambayo ni very serious akiamini kabisa mzee atafanya kwali kwakuwa kilakitu kiko wazi ajipatie ujiko, Kuhamaki mzee kumbe hataki ujiko wa staili hiyo akasahau kuwa yeye ndiye nyau anatakiwa akamate panya akajiona kama yeye ndiye nyau anatakiwa amvishe paka kengele akatokomea sasa amewaacha panya wanatawa kiulaaini. Mzee sita akaona bado ananafasi kwa kuamini bunge lijalo atakalia tena kile kiti ili panya walio mshinda nyau yeye awamalize!!!!!!!!! Weeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!1 Panya ninoma wamemuwahi sasa unategemea afanyaje wakati hana tena namna ya kuwawinda ili awaingize tunduni?
 
Serikali imepoteza mwelekeo, sasa hivi everybody ni msemaji, kwani hujasikia ya yule kitanda wa Arusha?

Sisi kazi yetu ni kuwasikiliza wanavyotoa siri zao. tumekaa mkao wa kula, leo sijui nani atakuja kivingine.

Mkuu umeniacha mbavu sina! Hahahahahahahaha!! Huu ndio mwisho wa utawala dhalimu wa CCM!!
 
Sitta; ok na sawa kwa unayoongea lakini tunakulaumu sana wewe. Tukikumbuka sakata la Richmond na hatimae Dowans kule bungeni wakati ukiwa spika, naweza tu kusema yafuatayo:
Tulimkaba nyoka shingoni tukakuambia "Sitta umeshika fimbo piga kichwa" ukapiga mkia, tukasema umekosea - "piga kichwa kiko huku", ukatujibu kuwa huyo si nyoka - akaachiwa!!. Sasa hivi huyo nyoka ameshafura amenyanyuka kwa hasira za kuumizwa mkia, kichwa kiko juu; Unatuambia sasa "jamani ni nyoka" nani atamshika?.
Kwa vyovyote kabla nyoka huyu hajashikwa tena na kuuawa lazima naye ataumiza (kuua) wengi. Ilianza Buguruni, sasa Arusha.
Sitta, malalamiko yako sawa lakini unapaswa kukiri hadharani kuwa ulikosea sana huko nyuma!!

Umetumwaa!
 
Sitta; ok na sawa kwa unayoongea lakini tunakulaumu sana wewe. Tukikumbuka sakata la Richmond na hatimae Dowans kule bungeni wakati ukiwa spika, naweza tu kusema yafuatayo:
Tulimkaba nyoka shingoni tukakuambia "Sitta umeshika fimbo piga kichwa" ukapiga mkia, tukasema umekosea - "piga kichwa kiko huku", ukatujibu kuwa huyo si nyoka - akaachiwa!!. Sasa hivi huyo nyoka ameshafura amenyanyuka kwa hasira za kuumizwa mkia, kichwa kiko juu; Unatuambia sasa "jamani ni nyoka" nani atamshika?.
Kwa vyovyote kabla nyoka huyu hajashikwa tena na kuuawa lazima naye ataumiza (kuua) wengi. Ilianza Buguruni, sasa Arusha.
Sitta, malalamiko yako sawa lakini unapaswa kukiri hadharani kuwa ulikosea sana huko nyuma!!

Tulishika kichwa then, now ni zamu ya six naye amshike kichwa nyoka huyu, bila kujali madhara yatakayotokea kwa hatua hiyo atakayochukua.
 
Tatizo 6 aliingia nusu nusu ndo maana richmond ikayeyuka. Sijui ni woga au lakini mi simpi kabisa credit coz ana mambo ya kupenda ufahari usio na maana. Kujenga ile ofisi kwake inanipa shiida sana kumwelewa.

Usijali kuhusu ofisi tunaweza kuigeuza zahanati.....wale awanonunua majumba Uingereza ndio issue
 
Mheshimiwa 6!
Waambie ukweli hao waliokuchakachua! Mwanzo nilitaka kukulaumu kukubali Uwaziri wa Afrika mashariki; kumbe ulikubali ili uwapambane nao kwenye baraza la mawaziri!!! waambie ukweli tuikomboe hii nchi maana Mkwere yupo kimya, kazi kuudhulia birthday, mazishi na matamasha!!!!
 
Sitta safi sana anawaamsha waliolala ukweli uko wazi, Dhambi ni Dhambi hangepakwa rangi ya dhahabu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom