Sijambo baya kuacha kazi ila chamsingi ahakikishe kwenye account yake ana mshahara wa mwaka mzima. Au kama anaweza kujipa muda akafanya kazi kwa mwaka mzima bila kuutegemea mshahara wake kwa matumizi yeyote yale atakuwa amefaulu na anaweza kuacha kazi na kuendelea na shughuli nyingine
Ifike mahali tuwe tunawalenga mawe kipindi cha kampen watajuaje kama wananchi tuna hasira nao mtu anapotea jimbon kwake anarud kipind cha kampen nabado tunampokea tuwalengen mawe wakiwa majukwaan heshima itakuwepo na hata kuongea upuuzi bungen watakua waoga
Asilimia kubwa ya wafanya biashara wa watanzania ni wanasiasa na wengine wameingia kwenye chama tawala ili kuficha makucha yao nivigumu sana maendeleo kuwepo maana wanaangalia faida kwa upande wao na watafaidika vip
Kujenga mapema ni uwoga wa maisha na kutokua na uhakika wamakazi [emoji3] asilimia 90% ya vijana hua hatujengi nyumba za ndoto zetu , we jenga bana ukae kwako si tuta investment tutajenga uzeeni [emoji847]
Sa sibora nyie mwanza munakumbukwa je sisi wa Arusha mpka twahisi hatuko Tanzania hii Stend tuu yenyewe mpka leo imebaki ndoto masoko toka miaka ya 2000 mpka leo hakuna hata mabadiliko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.