Siasa sio uadui kuwa Mbunge wa chadema haimanishi kutokuwa na urafiki na wabunge wa Ccm.Tuige mfano wa nyerere ilikuwa alimpigia kampeni Mbunge wa TLP wakati yeye in Cmm kampenia
Elungata nafikiri haufahamu namna hospital za kikristo zinavyoendeshwa pia tunatoa ushauri baada ya kufikiri kwa kina, badala ya kuongea kwa ushabiki tu.
Mbona kwenye tamko hatuoni maelezo ya jinsi mtakavyo walipa hao kadhi?tunachokataa ni serikali kugharamikia kupitia kodi za wananchi wote.elezen vyanzo vya mapato vitakavyo wawezesha kulipana mishahara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.