Recent content by R.JAMHURI

  1. R.JAMHURI

    Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    Kweli kama vile watanzania wamepatwa na msiba natamani kwenda kuishi nje na tanzania nikikumbuka ccm ilipotufikisha na tena ndio watawala nahisi kuugua ilamungu anisaidie na awasaidie watanzania wote waliofikwa na hali hii ya kutokuwa na amani awe faraja kwa watu wote amen.
  2. R.JAMHURI

    Shinyanga - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Hapa geita mjini kituo cha nyankumbu upigaji wa kura unaendelea vizuri na inaonekana watu wanataka mabadiliko maana kila mpiga kura ana kalamu yake na kichinjio kwa kuepuka hujuma
  3. R.JAMHURI

    Magufuli aibomoa UKAWA Kanda ya Ziwa

    ccm mnajitekenya na kucheka wenyewe.
  4. R.JAMHURI

    Wabunge wapya wa Bunge lijalo hadi sasa

    Rojass geita mjini
  5. R.JAMHURI

    Vipi hali ya Jimbo lako, upepo unavumaje?tupeane updates!

    Huku geita mjini ni bwana Rojas wachadema na lowassa kanyasu wa ccm hata hajulikani
  6. R.JAMHURI

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Geita kanishangaza sana!

    walimu na nyie shutukeni msikalie ahadi ya laptop maana liccm imekuwa kama msiba kwa waalimu
  7. R.JAMHURI

    GE2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

    Geita mjini ijapo mheshimiwa amefika mda unaelekea kwisha, lakini umati wa wapenda mabadiliko waliokuwa wamekusanyika pale uwanja wa magereza ni hatari kweli alivyosema si mapenzi ni mahaba
  8. R.JAMHURI

    Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

    Hata geita tunamsubiri rais anayesubiri kuapishwa kwa hamu kubwa ,lowassa ndio tumaini la wanageita na vitongoji vyake viva lowasa
  9. R.JAMHURI

    Lowassa: Sitategemea wahisani kuendesha serikali

    Watanzania ni mda wa kujitambua na kuachana na story xa ccm ebu tujaribuni na kwingine hivyo kura zote ni kwa lowasaaaa
  10. R.JAMHURI

    Ahmed Rajabu: Magufuli anampigia kampeni Lowassa bila kujua

    Ni kweli mkuu maana ccm wamekuwa ni watu wa kulalamika tu na kutoa matusi ovyovyo utafikiri si chama tawala. lakini hayo yote ni kwamba wanapoangali mbele wanaona kuna kushindwa ktk uchaguzi mwaka huu maana hawakutegemea nguvu iliyopo upinzani sasa
  11. R.JAMHURI

    Magufuli acha vitisho, sisi ni watu wazima

    ni mwaka wa mabadiliko ccm wao walie tu,habari za mjini ni lowassa mabadiliko ,mabadiliko lowassa
  12. R.JAMHURI

    Natoa rai tuacheni kumjadili Dr Slaa tumwache Mungu ashughulike naye

    mwacheni huyu mzee hana lolote wala hana ushawishi tena ni wa kupuzwa lowasa mbele daima
  13. R.JAMHURI

    Nani atumike kuzuia mafuriko

    kipindi hiki ni zamu ya wapumbavu na malofa kukaa ikulu lowasa hoyeeeeeeee
  14. R.JAMHURI

    Mkutano wa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa kutoka Songea

    pamoja na slaa kuongea bila kujua watanzania nia yetu ni mabadiliko rais mtarajiwa ni lowasa.
  15. R.JAMHURI

    Chagua mtu sio chama

    ni kweli hatutaki kusikia kitu ccm hata kama malaika angeshuka toka binguni eti agombee urais kupitia ccm kura hapati
Back
Top Bottom