Nafkri kwenye maswala ukanda na ukabila ndo inabd tuanze kuyazungumza hapa hv inakuwaje mgombea urais anaenda mahali akiwa anawahutubia watz wote amabao wamekusanyka mahali pamoja anatumia zaidi ya robo ya mda wake kwa kuongea kisukuma?? Na ukiangalia tz xaa kla mahal kuna mchanganyiko wa lugha zote
Naona 4u wamelala....wakiamka hii thread itavamiwa kama mchwa..magufyuli oyeeeeeeeeeeeeeeee
very poor arguments kwani alipokuwa tanga alihutubia kisuma? ama hujui kuwa magufuli amekuwa akijitahidi sana kutumia takribani makibala yote?