Recent content by Qwenga

  1. Q

    Nitaiburuza bodi ya mikopo mahakamani

    Kbsa Mkuu,nilifikiri unataka kasema wanakukata kimakosa,km wafanyakazi baadhi wanakatwa kwa makosa
  2. Q

    Barabara ya bilioni 4 za sherehe ya Uhuru kama inayoonekana kutoka angani

    Mkuu nijuzeni hv iko wpi hii barabara!!
  3. Q

    Waziri Angela Kairuki, sijakuelewa na sitakuelewa kuhusu ukaguzi wa vyeti vya wanajeshi

    Manes waliokuwa na vyeti feki ni vya Secondary tu,vya uuguzi viko poa,kilicholeta shida ni pale serikali iliposema haupati ajira mpk 4m 4 ndipo walipoenda kununua feki,
  4. Q

    Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu Z’bar aibua mazito ya Katiba Mpya

    Kwani hy hela ya wahanga ni ya kujitajirisha ama kuwarudisha ktk hali yao ya zamani!! Km wameshafanya hvy kwa nn isitumike kwa kazi engine!! Wa Tz jamani!!
  5. Q

    Nchi imeharibiwa na Utawala huu wa Awamu ya Tano, laana na itakuwa Juu ya Nchi

    Ni maandiko Matakatifu yalivyotabiri,acha kusingizia utawala mbovu na chuki binafsi,cna Chama
  6. Q

    Nafukua kaburi la biashara ya Freeman Mbowe, Nini asili yake?

    Nachofahamu ni mwenye mabasi ya Mtei Express ana mtto aitwaye Edwin Mtei,mabasi yke ni ya long time,
  7. Q

    Mchora katuni Kenya amemsifu au kumponda Rais Magufuli

    Asnt saaana kwa kunisaidia,nilikuwa bdo natafakari
  8. Q

    Mh. Mwigulu, Tafadhali Sikia kilio cha kutapeliwa cha hawa Watalii

    M My God!! Duh,aibu sana saaana
  9. Q

    Mh. Mwigulu, Tafadhali Sikia kilio cha kutapeliwa cha hawa Watalii

    Mh. Mwigulu please!!! Tuokoe na hy aibu
Back
Top Bottom