Kweli we ni FYATU,Sugu unamhusisha vp na huo upuz,yy ni sehem ya serikali?yan watu waache kusambaz elim ya uraia kwa wananch wanaonyonywa na ccm???wasanii hawajitambui wanaimba kwenye makampen ya ccm kwa kupewa pesa c wajenge hizo studio???
Yaan cjawah kuona mbunge msaliti kama zitto kabwe!!!!aungane tu na waliokir mbele ya cc kuwa ni kwel wamefanya usalit!!!mwigamba,na kitila mkumbo a.k.a leprofesari!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.