Recent content by Quinton Canosa

  1. Quinton Canosa

    Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

    hakika aiseee............sijui ww umewezaje kumantain
  2. Quinton Canosa

    Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

    Kuishi na mtu anayetumia hisia ni ngumu aiseee
  3. Quinton Canosa

    Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

    labda sijawa makini kwenye kuchagua japo mwanzoni kabla ya kuishi naye she was perfect
  4. Quinton Canosa

    Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

    Huyu sidhani kama anawaza future.......anapenda maigizo sana huyu nyuki
  5. Quinton Canosa

    Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

    daaaah.......hapa tu nauona moto wa gesi
  6. Quinton Canosa

    Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

    aisee kumbe tupo wengi.......pole sana
  7. Quinton Canosa

    Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

    Habari za jumapili wana JamiiForums Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana...
  8. Quinton Canosa

    True Story: Kupenda

    Achana na wanawake wenye majina ya vifupisho vya G........HAWAJAWAHI KUPENDA MTU HAO
  9. Quinton Canosa

    Sina furaha na ajira yangu, natamani kuacha. Je, nitaachaje?

    Jifunze kubadilisha step kuendana na beat la wimbo,maisha magumu mtaani hakikisha ukiacha una vyanzo vingine vya mapato vya kueleweka.... using'ang'anie kucheza blues wakati wimbo ulio kwenye playlist ni bolingo,mwenye masikio na asikie
  10. Quinton Canosa

    Ulifanyaje kipindi huna hela? Yaani maisha yamekupiga total knock out!

    Pole sana kwa mkoa wa kilimanjaro wajwnja ni wengi sana hapo Town.......kama unaweza hama mkoa hrbu jaribu kuhama kajaribu na sehemu nyingine ukute bahati yako haipo hapo
  11. Quinton Canosa

    Huu wimbo unaitwaje jamani

    Jabari wanajamii forums Kuna wimbo wa zamani sana wa bongo fleva unasema maneno haya SAUTI YAKO INANIWEKA ROJO JUU MAPENZI YAKO YANANIWEKA ROJO JUU SIONI MWINGINE KATIKATI YAKO SIONI MWENGINE ZAIDI YAKOO NI WIMBO WA JAMAA MMOJA HIVI KAIMBA NA MDADA YAANI NAITAFUTA CSANQ HII NYIMBO MSAADA WENU...
Back
Top Bottom