Recent content by Quinton Canosa

  1. Quinton Canosa

    Kama hauna pesa endelevu achana na mapenzi

    VIJANA WENGI NI WABISHI SANA
  2. Quinton Canosa

    Kama hauna pesa endelevu achana na mapenzi

    Habari za usiku vijana wangu Leo sina mengi ya kuongea ngoja niongee kiufupi.....KIJANA KAMA HAUNA KIPATO CHA MAANA ACHANA NA MAPENZI...UTAANDAMWA NA MAGONJWA YASIOAMBUKIZA KILA SIKU...... Siku njema
  3. Quinton Canosa

    Attention: Mwanaume jiandae kupata tendo la ndoa kwa ratiba ukishafunga ndoa

    Habari wanajamii forums,hope mko poa Nilikuwa tu nawakumbusha wanaume wenzangu hili jambo hili la muhimu.Ukishaingia tu kwenye ndoa jiandae kupata tendo la ndoa kwa ratiba na kutokana na mood ya mtu wako.Huko ukiingia tendo la ndoa ni nadra sana tofauti na ukiwa single maana kila kitu utalipia...
  4. Quinton Canosa

    Kama hauna pesa endelevu achana na mapenzi

    Habari wana JamiiForums Nimekaa na kufikiria sanaaaa. 100% Mapenzi ni biashara, kila penzi unalogusa linataka pesa, kila ukijaribu upate wa kuishi naye milele usipokuwa na kipato endelevu wanakimbia. Hii ina maana gani? Hii ina maana Wanawake hawaingii kwenye mahusiano na wewe kwa upendo wa...
  5. Quinton Canosa

    Ipi ni mashine bora na imara kwenye kuchomelea

    Habari wanaJamiiForums Kwa wale mafundi wa kuchomelea naomba kupata maarifa kayi ya hizi mashine 2 ipi nzuri zaidi kwenye kuchomelea na kwanini na naomba kujua uwezo wake vilevile
  6. Quinton Canosa

    Mapenzi ni Special kwa watu wanatumia akili kidogo

    Habari za usiku wana JamiiForums, Kwa muda sasa nimekuwa nikiyatafakari mapenzi. Nilichokuja kugundua ni kwamba mapenzi ni kwa watu dhaifu. Ukitumia akili nyingi kwenye mapenzi nakuhakikishia hutadumu. Angalia wote waliofanikiwa kudumu kwenye mapenzi, akili zao zilivyo... Sina lengo la...
  7. Quinton Canosa

    Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

    Ngoja nimuite mtu wa grammar atuhakikishie hapa
  8. Quinton Canosa

    Wapi nampata mwalimu wa Chess

    Nipo arusha kama vipi tuwasiliane
  9. Quinton Canosa

    Wapi nampata mwalimu wa Chess

    Sijakuelewa mkuu
  10. Quinton Canosa

    Wapi nampata mwalimu wa Chess

    Nipo arusha mkuu
  11. Quinton Canosa

    Wapi nampata mwalimu wa Chess

    Habari WanaJamiiForums, Naomba msaada wa kumpata mwalimu wa CHESS maana natafuta mwalimu wa mchezo huu lakini imekuwa changamoto. Msaada wenu please
  12. Quinton Canosa

    Hivi lengo hasa la kufunga NDOA ni nini?

    Habari za jumapili wanajamii forums Kwa muda sasa nimekuwa nikijiuliza hivi lengo kubwa la kufunga ndoa ni nini.Kinachonipelekea kujiuliza hayo maswali ni kutokana na kutoona tofauti kati ya waliofunga ndoa na wasiofunga ndoa.Ukiangalia kiundani wanandoa wengi wanachepuka balaa ni wazinzi wa...
  13. Quinton Canosa

    Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

    hakika aiseee............sijui ww umewezaje kumantain
  14. Quinton Canosa

    Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

    Kuishi na mtu anayetumia hisia ni ngumu aiseee
Back
Top Bottom