Recent content by quier

  1. quier

    JamiiForums Tanzania Ni nini sababu ya binadamu kuletwa Duniani?

    Kuna wengine hapa hatukua na umuhimu wa kuzaliwa sema ni vile tu Mungu aliamua tuje kuwa wafariji watu anaowapenda hata kama sisi wenyewe hatuna furaha. Unaambiwa ukijiua ni dhambi ila maisha yote tunaishi ukiteseka na huku unaona wengine wakiyafurahia maisha. Not fare kabisa . Kulikua hakuna...
  2. quier

    JamiiForums Tanzania Unapotaka kuhamia sehemu au kununua makazi, kuna umuhimu wa kuangalia aina ya majirani?

    Hilo si swali ni jibu . Japo watu wanasema hawapendi uswahili ila ni vema kujiridhisha na sehemu unapofikiria kuja kuishi muda mrefu. Hata kama kiwanja hakina mgogoro ila kuna majirani vichomi. Naamini huwezi kukosa fununu za tabia na maisha ya majirani ili ukinunua uwe umejiandaa na usije jilaumi.
  3. quier

    JamiiForums Tanzania Biblia inasema fungu la kumi litolewe mara moja tu kwa mwaka, hawa wanaodai fungu la kumi kila wiki ni wezi. Fungu la 10 waweza kulinywea hata pombe

    🤣🤣🤣 Hii ni Bunju hii Na hapo bado hujatoa michango ya kwenye jumuiya na bado watataka na sadaka kila jumapili sasa huwa najiuliza kama tunatoa asilimia 100 ya mshahara hizo za kuleta kama sadaka zitatoka wapi achia na kulisha familia nyumbani 🤗🤗 Haya mambo ya imani magumu sana
  4. quier

    JamiiForums Tanzania TRC yaomba radhi baada ya Treni ya SGR kukwama njiani Januari 8, 2025

    Yani kwa uandishi huu wa muda hapana kwakweli. Na hapo wana uzoedu wa kuwa kazini kwa miaka mingi ila hata kuandika majira tu ni tatizo au ni mimi pekee zijazoelewa hizo 11, 12, na 3 asubuhi??
  5. quier

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Namna hii huwezi wakuta Mara na viunga vyake. Wapo sana Tanga& Daslam wapenda Taarabu

    Yani utadhani wanaharibiwa na wanawake🤔🤔 tena nimeona wengine hapa wakilaumu wanawake kukaa nao sasa wanataka wakae na nani wakati ni wake za watu hao
  6. quier

    JamiiForums Tanzania Hii baa ya Maikoz Mbweni, usipokuja na gari jeusi la tinted hadi wahudunu wanakuona kama kachumbali tu

    Umelazimishwa kwenda hapo mbona bar ni nyingi pande hizo🤔🤔 Yani hela yako mwenyewe uanze kuiandikia uzi mrefu hivi ????
  7. quier

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

    Siku hizi wanaume wanaruhusiwa kuingia wodi za wazazi huko mloganzila au muhimbili???
  8. quier

    JamiiForums Tanzania Maulid ambaka mtoto wa miaka 6 hadi kufa akiwa njiani akienda Shuleni

    Mambo ya wanaume hayo nashangaa mpaka coment ya 15 hajatajwa mwanamke kama ndo chanzo cha huyo fedhuli kubaka
  9. quier

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

    So huwa hutibiwi ukiwa na bima mzee ??? Acha uongo bwana mi toka nazaliwa mpaka nakaribia 40 nimetumia bima maisha yangu yote na hiki unachokisema hapa sio sahihi
  10. quier

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya ajali: Mwana JF mwenzetu Ushimen kapata ajali mbaya na sasa yuko Muhimbili hospital

    Habari naomba unitag kwenye hizo sala za asubuhi tafadhali
  11. quier

    JamiiForums Tanzania Salamu ziwafikie wenye Roho ya kukunja

    Sasa kwanini usiende huko twitter ukasaidika?? Badala yake unataka kulazimisha usaidiwe na huku🙄
  12. quier

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri wa Nchi wa Bunge upande wa Ulinzi Luke Pollard ameolewa na mchumba wake wa siku nyingi

    Kwahiyo hapo umeona akina mama na dada tu wanaume hujawaona au unataka tu kuwalaumu wanawake kama kawaida ya wanaume wa JamiiForums?🙄🙄
  13. quier

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi UDSM, Jimmy Mathias Bughado amepotea

    Mmejaribu kupita hospital au mochwari. Kuna ndugu yangu alitoweka hapo karibu week nzima hapatikani wala hakuna anayejua alipo baada ya kutafuta sana alikuwa ameshafariki kwa ajali ya gari siku 8 hapo survey na sababu hakukutwa na simu wala vitambulisho ikawa ngumu kutambua yeye ni nani wala...
  14. quier

    JamiiForums Tanzania Hivi wapenzi wa King'amuzi cha Azam tofauti na ligi ya Tanzania kuna nini?

    Bora hata picha zingekua zinakosa ubora ila wanaweka movie mpya. Wamejaza channel za kihindi ambazo hata hazina tafsiri ya kingereza na hizo channel za lugha ya kiswahili na kizungu ni marudio mwanzo mwisho. Kwa mwezi mmoja unaiona movie mara 3 😏😏😏
  15. quier

    JamiiForums Tanzania Walimuita Baba yangu majina ya ajabu, Freemason, mchawi

    Huenda alikua na matatizo ya akili. Mtu na utimamu wake wa akili atembee peku tena mitaani kulivyo kuchafu??🤔🤔 Hao walikua sahihi kumuita hivyo mi ndo ningesema chizi kabisa
Back
Top Bottom