Recent content by Quids

  1. Quids

    Uganda na Kenya wasaini kulifikisha bomba la mafuta Kampala kutoka Eldoret

    Huyu ni muongo na mpotoshaji, mradi wa bomba la mafuta tayari ushaanza kufanyika na kampuni ya BBN tayari ipo site wanaendelea na kazi kule Tanga
  2. Quids

    Uganda na Kenya wasaini kulifikisha bomba la mafuta Kampala kutoka Eldoret

    Huu nao ni uongo na upotoshaji, na huu mradi ambao tayari unafanywa na BBN Tanga ni wa mafuta ya kupelekwa wapi!?
  3. Quids

    Kijana hakikisha unanunua gari yako ya kwanza kabla hujafikisha miaka 30

    Halafu walionunua magari na kuchukulia ni issue ya kawaida huwezi kuona wanaandika vitu kama hivi
  4. Quids

    Tumsaidie Lissu: Aliyeuza Bandari ni Wabunge zaidi ya 300 wa Tanganyika na aache kumsingizia Rais Samia!

    Hakuna namna mnaweza kumtetea huyu mama yenu kwa kuuza bandari
  5. Quids

    Tundu Lissu ni mpotoshaji tangu zamani, akikuambia leo ni Jumapili jaribu pia kuangalia vizuri kalenda yako

    Sio jibu, onesheni kwa vitendo watu waone uongo wa Lissu, kwa sababu anayosema Lissu anatumia reference za wazi
  6. Quids

    Inawasaidia nini Wanaharakati kusambaza uongo, uzushi na ubaya juu ya nchi yenu?

    Muwe mnajibu hoja na sio kukumbilia sympathy, hakuna atakayewaonea huruma kunguru nyie
  7. Quids

    Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

    Kwa maana hiyo kwamba we huna backup!? Huo ni uzembe wa kiwango cha lami
  8. Quids

    Kataa kabisa urafiki au mahusiano ya kawaida na Askari Polisi

    Polisi ni watu wa kuogopwa sana kaka huna hela ya kueleweka, usijenge urafiki nao, Anyway binafsi siwapendi sana polisi
  9. Quids

    Nini kilikufanya ukaacha kwenda kuabudu kwenye nyumba ya ibada?

    Michango, hii kitu huwa inani discourage kwenda church kwa kweli, unakuta michango jumla ni nusu ya mshahara wako, na deadline ni hapa na pale
  10. Quids

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    May mosi ni siku ya wafanyakazi, sasa hao wadudu (majobless) wanakwenda kuujaza uwanja ili iweje!? Au ndo wenyewe wanakwenda kupewa allowance ya ganja
  11. Quids

    Nashauri mikopo ya elimu ya juu ifutwe, mbona wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo iweje wao?

    Na huenda huelewi unachooandika au unaandika kwa mihemuko, kwenye mkopo kuna mafungu mawili ambayo unaweza kupewa yote au ukapewa fungu moja tu kati ya hayo, fungu la kwanza ni tuition fee (ada ya chuo) na fungu la pili ni accommodation allowance (hela ya kujikimu) Tution fee (ada) mwanafunzi...
  12. Quids

    Nashindwa kumpata, nampenda sana. Nifanyaje ili anielewe??

    Focus na masomo dogo, wanawake wapoo mda wote na wengine wanaendelea kuzaliwa wazuri kuliko huyo, huyo sasa hivi unampenda lakini asikusababishie uje kujuta maisha yako yote
  13. Quids

    Nashauri mikopo ya elimu ya juu ifutwe, mbona wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo iweje wao?

    Ndo hii naita roho mbaya, kwani mtu akinunua hivyo vitu we unaumia nini!?
  14. Quids

    Nashindwa kumpata, nampenda sana. Nifanyaje ili anielewe??

    Unasoma halafu unawaza mapenzi, we ni aidha udisco ama ufeli, huyo binti unayemtamani ni chakula ya lecturer mmoja hapo na akigundua unamnyemelea ndo ujue umekwenda na maji
Back
Top Bottom