Nishati ni National Issue, Kufanya ivo ni Compromise Nationa Security, Tanesco acha iendelee Kuwa 100% State Owned, Itafutwe namna tu Private wazalishe Umeme na wauze kwa Serikali kitu ambacho sio Kigeni mana kuna Kampuni ziliwahi kufanya ivo na still zinafanya ivo pawapo na scarcity ila...
Nishati sio Kitu cha Kuchezea kabisa, Tanesco iendele kuwa State Owned Entity kwa Masilahi mapana ya Nchi, Katika Vitu nyeti Nchi hii ambayo si vya kuchezea ni Nishati acheni masihala wazee
Kuna mambo ukiyasikia unaweza kuona ni Anasa lahasha, Mzee tafuta tu Hela wewe now ukichoma Kilo Usiku mmoja kuna Mjinga atakuona unafanya anasa kumbe ndo Level yako, Tutafute Hela wazee
We jamaa Wanawake hao walikuwa wanakuzuga tu Kujionesha wao Sio waliwaji ovyo ivo kujiongezea mvuto kwako Na uone kuwa wakikupa mzigo basi uko special sana na utoe kingi zaidi, Hao wanawake wa mabar kwanza ukitaka uwape Mteso wa kiakili we Mpe offer halafu Potea bila kutaka Uchi wake atakusumbua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.