Haahaaa kumbe kujitegemea ni process hutakiwi kuamka na kuanza vipi kuhusu yale mabadiliko tuliyokuwa tunayataka binafsi naona kama ndio tumeyapata.
#nawaza tuu kwa sauti
Kwa upande wangu sikatai kwamba wapo madereva wazembe wanaostahili kubeba lawama, lakini pia naombatuangalie swala hili la ajali za barabara kwa mapana tukilihusisha na IMANI. Tumuombe Mungu atuepushe na hii dhahama.
ni kweli wanaume kazi yao ni kutongoza tongoza tu kutokana na kuweka tamaa mbele, mm ni mfuasi mzuri wa msemo kataa neno usikatae wito hivyo inapofika kutongozana huwa napotezea kwa kutoa namba feki kisha nakuacha na nicheki baadae tuongee kuna sehemu nawahi.
unapomprovoke mtu unategemea nini?, sio wote wanaoweza huzihimili hasira zao mambo mengine ni ya kutafakari ukiwa umetulia na kuchukua hatua umaarufu hauji hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.