Asubuhi hii nimeenda kununua vitafunwa vya kunywea Chai yaliyonifika si madogo kati kati ya kitafunwa nimekutana na nywele.Hapa nimekaa nawaza nywele hii ni nywele ya wapi kichwani,kwapani ,au ni vuzi aiseee mbona tunakula vitu vya ajabu bila kujijua.
Mkakati wangu mpya kuanzia Leo sitatumia...
Khaaa mwenzanguuu nalinda visent vyangu vya wizi me mwenyewe naona ngekewa hapa na vyuma hivi vilivyokaza nafanya kazi ya kuzichungulia kila dk 0. Chini ya kitanda sasa naona pm huko sipaelewiiii
mkuu iliyonishauri nimeyaelewa yote jitaongea nae aache lakini kuhusu kurudisha hii pesa ndio kwenye ukakasi kidogo najitahidi kuelewa ila nashindwa kabisa
Dooooh!kweli vyuma vimekaza kina smart mnipe break kidogo huko pm:D:D:Dvilaki vinne tu mnanitoleaaa mijicho kodooo....naipata kwa shida hii sa hizi masubiria kiama changu sijui kazi tapota salama
Haki ya mama na krisimass hii naridishaje kwa mfano afe kipa afe beki akirudi kitu....hawa wanaume si watu wakuwachekea anaweza kulisha bamia dairly kumbe anahonga vimwali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.