Ushauri;she is very bright lakin hajui mapenzi

Ushauri;she is very bright lakin hajui mapenzi

Yahn wewe kweli mshamba wa mwisho ....kwani utamu unapata upati..mfundishe unavyotaka akufanyia....sasa muache katafute wenye viuno vingi wanajua kuruka sama soti.uone unavyokufa masikini alafu hapo wajuaji hao Mara nyingi msingi ndio unakuwa hiyo k yake hivyo atajitahodi kila siku kukupa mambo mapya kazi kwako.....uzuri wa mwanamke upo kichwani sio chini kwenye papuchi ....utachelewa brother na uchumi huu wa uncle magu
 
Hapo ndipo unapofeli.
Utafute wengine wa nini wakati watu tunalilia hata demu anayekuuliza unampango gani wa kufanya biashara yako iendelee na usipate hasara kubwa.
Kama ni mapenzi mfundishe yamkini mambo hayo hakujariwa kujishirikisha. Jiongeze kijana
 
Habari yenu wakuu?
Ni miezi 6 imepita tangu niingie kwenye mapenzi na huyu binti,kimwonekano ni mrembo wasura na umbo pia ,rangi nyeupe mtoto amebarikiwa ,ndani ya kipind nilichokuwa nae nimegundua kua ni kati ya mwanawake wachache wenye IQ kubwa ya maisha ,anapambana sana kutafuta life nahis akiwa shemeji yenu au wifi yenu ntajenga ghorofa sio mda mrefu coz kila nikimpatia mtaji faida inaonekana ,na ananpenda xana lakin inshu ni hajui mapenzi ,akifika on bed ni kama google ,hachenji voice note wata respond ,hutulia tu japo najituma kwelikweli ,nimejarib kuonja chai kwingine ni tam sana coz kule naona respond yaani nikiponyeza moja Lazime iandikwe,naomba ushauri niendelee nae au nimwache nichukue anaejua mapenzi na kurespond?
mfundishe
 
Yahn wewe kweli mshamba wa mwisho ....kwani utamu unapata upati..mfundishe unavyotaka akufanyia....sasa muache katafute wenye viuno vingi wanajua kuruka sama soti.uone unavyokufa masikini alafu hapo wajuaji hao Mara nyingi msingi ndio unakuwa hiyo k yake hivyo atajitahodi kila siku kukupa mambo mapya kazi kwako.....uzuri wa mwanamke upo kichwani sio chini kwenye papuchi ....utachelewa brother na uchumi huu wa uncle magu
Nadhani somo limefika
 
Mkuu huwezi kupata vitu vyote kwa mwanamke cha msingi ni kuendelea kumfundisha taratibu mpatie vitabu asome pia mnunulie movie muwe mnaangalia wote
 
Habari yenu wakuu?
Ni miezi 6 imepita tangu niingie kwenye mapenzi na huyu binti,kimwonekano ni mrembo wasura na umbo pia ,rangi nyeupe mtoto amebarikiwa ,ndani ya kipind nilichokuwa nae nimegundua kua ni kati ya mwanawake wachache wenye IQ kubwa ya maisha ,anapambana sana kutafuta life nahis akiwa shemeji yenu au wifi yenu ntajenga ghorofa sio mda mrefu coz kila nikimpatia mtaji faida inaonekana ,na ananpenda xana lakin inshu ni hajui mapenzi ,akifika on bed ni kama google ,hachenji voice note wata respond ,hutulia tu japo najituma kwelikweli ,nimejarib kuonja chai kwingine ni tam sana coz kule naona respond yaani nikiponyeza moja Lazime iandikwe,naomba ushauri niendelee nae au nimwache nichukue anaejua mapenzi na kurespond?
Ndio madhara ya zinaa
Ungemuoa kabla ya kuzini naye
Tatizo mzinifu huwa anajua radha nyingi
 
Mkuu mbona hiyo ni ishu ndogo saana, mwanamke hajui mapenz ndio kiwe kikwazo.. look siogope, siku zote mwanaume ndio kila kitu, mfundishe mpenz wako, mueleze kile unapenda kufanyiwa kunako faragha, mueleze zile sehemu zako ambazo ni ngome zako kuu.. fanyia kazi hya kwanza.. halaf utanitafuta.
 
Labda weww ni mgeni na hawa watu wanawake wenye akili nyingi sana hata wale mambo safi wanakuwa hawako vizuri secta hiyo

ikiwa unataka vitu baba tafuta kuku wa kienyeji wenye sura mbaya , wasiojiremba kupitiliza hao ni hatari baba utafikiri wana upupu ukimgusa karuka futi mbili usipomdaka anaweza dondoka kitandani
 
Yahn wewe kweli mshamba wa mwisho ....kwani utamu unapata upati..mfundishe unavyotaka akufanyia....sasa muache katafute wenye viuno vingi wanajua kuruka sama soti.uone unavyokufa masikini alafu hapo wajuaji hao Mara nyingi msingi ndio unakuwa hiyo k yake hivyo atajitahodi kila siku kukupa mambo mapya kazi kwako.....uzuri wa mwanamke upo kichwani sio chini kwenye papuchi ....utachelewa brother na uchumi huu wa uncle magu
Hahaa sawa madam ,
 
Kuna wakati ukifika huna budi kuchagua moja tuu,.Sasa ww shughuli kwako kama unataka sauti za uongo na kwelii au unataka kujijenga kimaisha pamoja na real love kazi kwako..chagua MOJA.
Nachagua kujenga kimaisha pamoja na real love ,, so will you ??.
 
Habari yenu wakuu?
Ni miezi 6 imepita tangu niingie kwenye mapenzi na huyu binti,kimwonekano ni mrembo wasura na umbo pia ,rangi nyeupe mtoto amebarikiwa ,ndani ya kipind nilichokuwa nae nimegundua kua ni kati ya mwanawake wachache wenye IQ kubwa ya maisha ,anapambana sana kutafuta life nahis akiwa shemeji yenu au wifi yenu ntajenga ghorofa sio mda mrefu coz kila nikimpatia mtaji faida inaonekana ,na ananpenda xana lakin inshu ni hajui mapenzi ,akifika on bed ni kama google ,hachenji voice note wata respond ,hutulia tu japo najituma kwelikweli ,nimejarib kuonja chai kwingine ni tam sana coz kule naona respond yaani nikiponyeza moja Lazime iandikwe,naomba ushauri niendelee nae au nimwache nichukue anaejua mapenzi na kurespond?
Akili zetu wanaume anazijua Mungu tu. Akili na Makalio; tunachagua makalio.

Eeee Mungu tuhurumie
 
Kama anajua kutafuta hela basi anafaa kwa mazingira ya magu na kuhusu mapenzi usijali wadau watamfundisha tu kama umeshindws
 
Habari yenu wakuu?
Ni miezi 6 imepita tangu niingie kwenye mapenzi na huyu binti,kimwonekano ni mrembo wasura na umbo pia ,rangi nyeupe mtoto amebarikiwa ,ndani ya kipind nilichokuwa nae nimegundua kua ni kati ya mwanawake wachache wenye IQ kubwa ya maisha ,anapambana sana kutafuta life nahis akiwa shemeji yenu au wifi yenu ntajenga ghorofa sio mda mrefu coz kila nikimpatia mtaji faida inaonekana ,na ananpenda xana lakin inshu ni hajui mapenzi ,akifika on bed ni kama google ,hachenji voice note wata respond ,hutulia tu japo najituma kwelikweli ,nimejarib kuonja chai kwingine ni tam sana coz kule naona respond yaani nikiponyeza moja Lazime iandikwe,naomba ushauri niendelee nae au nimwache nichukue anaejua mapenzi na kurespond?


Kwa kuwa huyo demu anajituma sana ndiyo maana anakuwa kachoka by the time mnafanya ule mchezo, hii pia ni kitanzi kwako kwani tayari tumeshajuwa kuwa wewe si mtafutaji bali ni mtombaji tu.....achana na huyu demu mara moja, naomba contacts zake tafadhali.
 
Back
Top Bottom