nimepigiwa simu ila email sijatumiwa. Tafadhali aliyepigiwa simu anipe ile namba yao niweze kufanya followup ya email kama introduction yakuripot kwenye interview
LEO JION SAA 11 NILIPIGIWA SIMU YAKUITWA INTERVIEW YA TRA DIMOND JUBILEE TAREHE 12. KWA BAHATI MBAYA MPAKA SASA SIJAPATA EMAIL YAO NA WAMEAGIZA KWENDA NA BARUA YA KUITWA. TAFADHALI KAMA KUNA MTU AMEPIGIWA SIMU ANIPATIE ZILE NAMBA KWAKUA ZILIFUTIKA BAADA YA SIMU YANGU KUDONDOKA NA KUTOKA BETRI...
usikate tamaa, tuma maombi mengi uwezavyo, mkumbushe Mungu kila wakati hitaji lako Mungu ni mwaminifu sana na hutoa pia kwa wakati wake. Hujachelewa kupata. Jipe moyo rafiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.