Recent content by Quaty

  1. Q

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Hatar
  2. Q

    JamiiForums Tanzania Nauza eneo lililo chimbwa mchanga.. ukubwa heka moja misugusugu kibaha

    Unashuka Mbele ya Shuler kituo kinaitwa wakala WA vipimo... 0759960687
  3. Q

    JamiiForums Tanzania Nauza eneo lililo chimbwa mchanga.. ukubwa heka moja misugusugu kibaha

    Eneo lipo nyuma ya kiwanda cha Lake steel misugusugu.. limechimbwa mchanga Ni Zuri Kwa ufugaji.. au kulisawazisha Na kuweza kukata viwanja.. karibun
  4. Q

    JamiiForums Tanzania Nina uza eneo lililo chimbwa mchanga.. ukubwa WA hekari moja. Misugusugu kibaha. Pwanu

    Eneo Ni heka moja.. nyuma ya kiwanda cha Lake steel misugusugu kibaha. Lina hati Kwa majina yangu.. bei Ni tsh million Tano maongezi yapo. 0759960687.. karibuni
  5. Q

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda wangu kwa mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima

    Siyo Shahada Tu... Kanipa nyumba kanipa watoto kanipa Kazi kanipa biashara...
  6. Q

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda wangu kwa mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima

    Namtukuza Mungu kupitia mtumishi wake Mapungufu kila MTU anayo .... Wenda kuandika Ni mapungufu..... But ujumbe umefika... Mimi Na wewe Amna tofauti Dunia tutaviacha hii.... Amna ujuaj Kwamba ukiweza kuandika vizur
  7. Q

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda wangu kwa mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima

    Mwanaume aliye kamilika awi Chawa WA MTU... Mimi Nina dhihirisha matendo ya Mungu kupitia Kwa mtumishi wake Na namwombea msamaha.. unaleta ujuaji
  8. Q

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda wangu kwa mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima

    Namwongelea yesu mnazareti aliye hai
  9. Q

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda wangu kwa mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima

    Kamuulize mke Wako mapungufu yako
  10. Q

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda wangu kwa mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima

    Ulimwengu WA roho ulinitoa nathibitisha hapa bila Shaka yesu Yu Hai kanitendea mengi...Na Hana njia Za kibinadam umchagua yoyote Katika njia yoyote
  11. Q

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda wangu kwa mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima

    Unataka nimtukuze mganga WA jadi
  12. Q

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda wangu kwa mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima

    Namshukuru Mungu nilifanikiwa... Iman ikakuwa kuamin injiri ya bwana yesu Kwan kanipa mke mzuri watoto Wazur nyumba Zur Kazi Zur usafiri mzuri Na biashara zur. Bado namwombea msamaha mchungaji gwajima Kwa Mungu Na raisi wetu mpendwa Na wote wenye mamlaka
  13. Q

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda wangu kwa mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima

    Mwaka 2014. Ulikuwa mwaka WA kumaliza chuo kikuu Moshi... Nilianza first year Na GPA 3.8 kufika mwaka WA pili ilishuka had 2.9. Na kuanzia kulemewa Na masomo Na kuchukiwa Na ma lecture KWENYE kila course pale chuo. .. Kufika mwaka WA Tatu wenzangu wanapoenda nyumban Nina sup ya masomo ma NNE...
  14. Q

    JamiiForums Tanzania Wahaya tena, Helicopter yamfuata mtoto shuleni Kaizerege bukoba

    Mama ana upiga mwingi
Back
Top Bottom