Habari ndugu zangu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, kuwa nyumba inauzwa, Nyumba hiyo ipo eneo la kivule, banana dar es salaam.
Nyumba hyo ina vyumba vitano ndani,
Master bedroom
4 single bedrooms
Store
Dining
Seating room
Public toilets inside,
Pia ina eneo kubwa kwa nje...