Naona siku hz south Africa wanaifatilia sana ligi ya bongo. Japo wengi wao wanaonesha kuipenda sana yanga na wametabiri kuwa yanga atashinda dabi.
Wanaweza shangazwa na matokeo ya leo ngoja tuone
Mmh sidhani kama mtoa maada n mwanaume aliyelelewa na wazazi wawili
Na sidhan kama n mwanaume aliyekamilika, nadhan kuna shida mahali
Mwisho wa kunukuu
Kweli kabxa itakuwa aibu sana kufungwa tena na utopolo, japo simba ikiingia kwa kutaka kupishana na yanga basi simba lazme atakufa nyingi.
Itabid itumike tu njia nyingne mbadala
Tatizo watu hamfanyi research, Mbeya wanapenda mziki wa hiphop sio hyo miziki yenu lain lain.
Sasa nyie mnampandisha zuchu & mbosso jukwaani ili awaburudishe akina mwaisa kweli?
tumieni akili aisee, hao jamaa wanataka wasanii jamii ya Ney, Roma, J moo etc.
Sasa zuchu atawaimbia nyimbo zipi...
Mwanaume aliyekamilika hawez oa mwanamke mweny vinasaba na ufeminist.
Ni hawa vijana wasiojielewa wanaotaka kuoa mwanamke wa fashion na kusaidiana kutafuta pesa ndio huingia kweny mtego wa hawa mafeminist
Sikubaliani na wew kuwa hizo simu zimekaa kishamba ila nakubaliana na wew kuwa kwa sasa hzo simu zimekaa kimkakati.
Hizi simu zinakoelekea ni kama wanaume hazitufai kinamna flan kutokana na mazingira yake yalivyo kwa sasa. Ukitumia hzo simu unaonekana nyororo sana na unaweza hisiwa kivingne (D...
Dah hili andiko linanihusu sana, japo kiwanja changu kimezungukwa na nyumba nzuri ila ngoja nipige hako kastoo kama alivyoshauri mtoa maada then hiyo nyumba ya ndoto yng itafata. Kero za kupanga zimenichosha sana
Mimi nadhani ni vzr kwa kijana baada ya kumaliza masomo yake arudi nyumban walau wiki kadhaa kupata baraka za wazazi kabla hajazamia mjini kupambana na maisha.
Wazazi wengne wanaumia wanapoona mtt wao tangu amalize chuo hajawahi kanyaga nyumban tena.
Yawezekana mtu hafanikiwi kwakuwa mzazi...
Bila huyo mwamba kuwepo pale nyuma tungekufa nyingi.
Huyo afande n beki bora sana kwa mpira wetu wa kibongo bongo.
Ukimtoa huyo unamuweka nani kwa mfano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.