Recent content by QT Jay

  1. QT Jay

    NACTE wanatoa lini selection?

    kumbe ? mi nilitumainia this week
  2. QT Jay

    NACTE wanatoa lini selection?

    duuuuuhhh sasa mbona kuna vyuo vinaanza masomo tarehe 27 so itakuwaje apo mkuu
  3. QT Jay

    NACTE wanatoa lini selection?

    we ni mtanzania kweli? ama mkongo ?
  4. QT Jay

    NACTE wanatoa lini selection?

    hapana za vyuo
  5. QT Jay

    NACTE wanatoa lini selection?

    Wakuu , NACTE mbona wako kimya? yani hawatoi hizo selection na muda unazidi kuyoyoma. msaada kwa mwenye idea juu ya hili
  6. QT Jay

    Tetesi: Waliochaguliwa na NACTE kujiunga na vyuo mbali mbali

    shukrani kaka ngoja nisubiri maana ujumbe ulio kwenye profile unasema usajili umeshafungwa kwaajili ya selection process
  7. QT Jay

    Tetesi: Waliochaguliwa na NACTE kujiunga na vyuo mbali mbali

    Habari Wakuu na wenyeji wa humu, Napenda kutanguliza salamu zangu kwenu awali ya yote. pili naomba kufahamishwa kwa anaetambua kuhusu hawa Jamaa NACTE je wamekwisha kufanya selection? ama bado? maana naona kimya nisije kuwa nasubiri kumbe walishatoa zamanii, na kama hawajatoa lini...
  8. QT Jay

    Baada ya kuomba vyuo kupitia NACTE, nini kinafuata?

    kumbe sasa kaka watakao kutaarifu ni Necta ama chuo? maana nilikuwa najaribu kutuma online application chuo flani ili nisikose kabisa nashangaa papo hapo naambiwa congratulations na nikifikilia kiko dodoma chakula juu yako kima cha chini kwa siku 2500. nikifikilia na hii Tanzania ya viwanda daahh
  9. QT Jay

    Baada ya kuomba vyuo kupitia NACTE, nini kinafuata?

    Agricultural then kunauwezekano maombi yako kukubaliwa na vyuo viwili halafu wewe ndo ukafanya ukatazama uende chuo kipi? ama wao ndo wanakuwa wanakudirect utaenda chuo flani
  10. QT Jay

    Baada ya kuomba vyuo kupitia NACTE, nini kinafuata?

    kwahiyo nikisha chaguliwa ndo nitakwenda kuchukua fomu katika chuo husika nilicho be selected?
  11. QT Jay

    Baada ya kuomba vyuo kupitia NACTE, nini kinafuata?

    Salama wakuu, Mimi nimefanya application kwa kupitia NACTE na idadi ya vyuo nilivyohitajika kuomba ni vitatu tu na kweli nimeomba. Je baada ya kuomba kupitia NACTE nini ninatakiwa kufanya baada ya hapo?
  12. QT Jay

    Shule nzuri ya kurudia mtihani wa kidato cha nne Mwanza

    tena mwambie kosa halirudiwa mara ya pili
  13. QT Jay

    Naombwa kufahamishwa kuhusu Tusiime sekondari

    wakuu mimi nilikuwa nahitaji kurudia mtihani wa kidato cha nne kwa shule inayofaulisha vizuri hivyo napenda anaefahamu ada ya Tusiime anisaidie niitambue au shule yoyote ilio vizuri katika maswala ya kurudia mitihani
Back
Top Bottom