Recent content by Qsm

  1. Q

    Kabila la Wanyakyusa wanaongoza kwa matatizo ya kifamilia

    MTO MADA EBU KAISHI/OA MAKABILA YOTE TANZANIA KILA MWANAMKE WA KABILA TOFAUTI KAA NAYE MWEZI MMOJA TU . NDIPO UTAJUA WANAWAKE WA KINYAKI NI BORA KULIKO WOTE.
  2. Q

    The dark side of business

    Asante sana kwa somo zuri
  3. Q

    Msaada: Anayejua chimbo la pampers kwa bei nzuri ya jumla

    Asante kwa taarifa hii nzuri.
  4. Q

    Msaada: Anayejua chimbo la pampers kwa bei nzuri ya jumla

    hapana sijaenda nakushukuru sana nitaenda huko
  5. Q

    Msaada: Anayejua chimbo la pampers kwa bei nzuri ya jumla

    Tafadhali anayejua chimbo la pampers kwa bei nzuri ya jumla jumla.
  6. Q

    Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

    My Bro Mshana endelea unajua tena kina sisi kila kitu kukosoa tu na kujifanya tunajua kila kitu. Mwenye nia ya dhati atafanya na hawa wababaishaji achana nao. Hongera kaka wajasiliamali tumekuelewa.
  7. Q

    Uchafu wa kiroho hunuka kuliko uvundo wa maliwato

    My bro ni kweli kabisa ukitendwa kurudishwa upendo wa awali haiwezekani kabisa.
  8. Q

    Mwenye kulifahamu Ua hili

    YAPO MENGI TU KWA WAUZA MAUA. TUAMBIE BASI LINASAIDIA NINI?
  9. Q

    Ipi ni picha halisi

    du wewe ni mchoraji? jitangaze tutakupataje? unachora kwa kweli
  10. Q

    Uzi maalum. Mbwembwe za Wanyakyusa!

    Kwa kweli kuna watu hawaijui Mbeya, karibuni huwezi fananisha na huko kwenu kwa kila kitu:)
  11. Q

    Maisha yanaenda kasi sana

    Mama yangu kipenzi nitakukumbuka daima, wenzetu wote ndani ya nyumba hii Jamii forums na wote waliotutangulia tutawakumbuka daima.
  12. Q

    Mimea 10 ya kiroho yenye nguvu chanya kimwili

    Tunasubiri kwa hamu namba 9 na 10 please
Back
Top Bottom