Wakuu kwema humu.
Naomba kupata maelezo kuhusu hospitali nzuri ya Macho katika jiji la mwanza.
Nina mzazi wangu nataka akapate huduma ya macho.
Shukrani sana.
Walimvamia dada mmoja anaendesha biashara ya salun.
Walimvamia na Panga huku mwingnr ana Bastola (haina risasi lakini), wakamuamrisha atoe ela yule dada akawapa kiasi cha laki 5,simu pamoja na pochi.
Sasa walipotoka ndo dada wa salun akawafata nyuma akipiga yowe la "Wezi hao". Wawili wakadakwa...
Brad na Priya ndo habari ya mjini, wameanza kufanya jogging pamoja.
Sizwe na Zukisa nao wapo kwny matatizo, Sizwe akiwa kwenye kampeni zake za kuwatetea wachimbaj wapate maslai mazuri huku wakiwa na mpango wa mgomo wa amani. Zukisa anachukizwa na hizo kampeni kwani Sizwe ameungana na Barker...
Habari wakuu.
Nina website yangu imetengenezwa kwa Word press..sasa kuna kitu kinaitwa bots huwa nakiona kwa chini pamoja na visitor.
ningependa kufahamu bots ina maanisha nn?
Na Pia ni plugin gani nzuri kwa ajili ya ku count watu wanao visit website maana hii niliyo nayo sielewi unakuta post...
Barker na Georgie wanaunga nguvu kupambana na Sibeko family...hapa patamu sana.
hii Scene ya Barker na Papa G wanapga kinywaji huku wanapga stori imekaa poa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.