Jamani tujifunze hili swala tena litufanye tuwe na uelewa wa nini CCM inafanya na wabunge wake? Mimi ni CCM kabisa ila wanavyo fanya sipendi kabisa wanaendesha nchi kibabe , wabunge wa CCM tumewatuma huko kututetea na kuwakilisha matatizo yetu si kushindana kwa kupiga kelele.
CCM shindaneni na...
UKISHIKA NJIA YA POTELEA MBALI ,
UTAFIKA KATIKA MJI UITWAO LAITI NENGELIJUA,
NA WAKAZI WA MJI HUO WANAITWA
UKIFIKA HAPA HUTOKI NG¡¯O! Tafakari na wanao jivua gamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.