Picha tunayoitumia kwenye vitabu haionyeshi uhalisia wa hali ya waafrika miaka hiyo ya 1905. Yaani hii picha haikufaa kabisa kuendelea kutumika. Hiyo ni picha ya kuchorwa na mkono. Picha inamuonyesha Kinjeketile kama Mtu mwenye kitambi/kiribatumbo, yupo tumbo wazi, anamduara ule kichwani...
Kudadadeki. Never kaka never. Hakuna CCM anayetambua uwepo wa Tanganyika. Mimi upinzani, yaani ni mpinzani tuu nature yangu hata kama wakachukua serikali watu wengine nitakuwa mpinzani tuu 😂😂. Sababu naamini bila upinzani hakuna Demokrasia.
Kwa huku nilipo fiber bado haijafika. So source ya internet kwangu ni Airtel na Yas. Zote mbili nazilisha kwenye Router 1 (nimeConfigure Multiple WAN).
Router zenye uwezo mkubwa bei yake ipo juu sana. Sasa nikaanza kufanya research ya kama PC ikiwa na Windows OS ya kawaida kama inaweza kufanya kazi kama Router. Nilihangaika mpaka kuja kupata majibu kuwa kama unataka kutumia PC yako kama Router basi inabidi usasishe (install) OS ambayo ni...
Ndiyo kaka ndo inavyokuwa kwasababu zenyewe hazijaundwa kuwa AP so sisi tunavyoitumis inakuwa ni kama bridge kwenda kwenye Router zetu. Ukitaka kuAccess portal yake ni lazima uiDisconnect from being a bridge ndo ufanye mambo yako halafu inakuwa fresh yaani. Ndo hivyo hivyo hata mimi ninavyoishi...
Mkuu, tunaposema AP (Access Point) inamaana ya WiFi device ambayo itaAct kama extender ya network yako kuifikisha sehemu fulani kuwezesha watu kujiunga na kuAccess internet yako. Hivyo hiyo internet inachukuwa kwenye Router yoyote kupitia Ethernet Port 3. Uwe unachukua internet kutoka TTCL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.