Kama unampenda huyo binti nenda na hakikisha una hela ya kutosha bila hivyo utaenda kulia na usionewe huruma!! Kila kitu kwao ni gharama!! Japo huwa "wanatorosha" hii mbinu wanaitumia sana washikaji ambao bado hawajajipata kiuchumi then baadae mambo mengine yatafuata.
Hivyo vizee ni vihuni vya zamani kwanza kwa ujumla wake hio familia umeilea sana wengine wasingefika huko.. kingine hakuna ubaya,ubaya ulikua kumpiga mimba ila kwakua ulikua ushaachana na dadake huyo G ungeoa fresh tu,!!japo naona complications ni nyingi ila haikua na ulazima kufika kote huko...
Usiogope chalii...Ugaidi ni propaganda za kimarekani kuudhoofisha uislamu,hilo lengo lenu halitatimia maana tupo upande ambao tunaamini kuwa..mkitushinda tumeshinda,na tukishinda dhidi yenu tumeshinda pia!
Safari hii Vita ya Ukraine na Urusi sio sababu?? 🤔🤔🤔🙌💔
Maana ni moja ya sababu zilizotolewa hapo kati,baada ya mambo kuharibika! Ujinga ni janga kwa taifa letu tuna safari ndefu mno.
Naliona hilo Mafua yanakuganda hata wiki mbili!
Lakini pia kuna kaugonjwa sijajua kama kameisha o not ila ni full kuendesha bila kujulikana unaumwa nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.