Heyu kocha hana mvuto toka mwanzo, alivyooamza kandarasi yake pale Old Trafford, inaonyesha wachezaji, mashabiki na hata timu pinzani wamegundu kuwa huyu Jamaa ana uwezo mdogo! Kazi ya kocha kwenye timu kama man kubwa siyo kufundisha mpira, ni kuleta mfumo mzuri na kuwajenga wachezaji...