Recent content by Pzika

  1. Pzika

    Naomba ushauri biashara ya kusajili laini na kuuza vocha

    Agent wa Tigo wale wakubwa au workshop za hizo mitandao
  2. Pzika

    Phone4Sale Samsung S8 inauzwa kwa bei nafuu

    SAMSUNG S8 64Gb 550,000/= fixed Fullbox New Call/whatsapp: 0715767420
  3. Pzika

    Kuimport gari kutoka Uganda

    S Kisheria unalipia yote
  4. Pzika

    Nimevurugwa na nilichokiona, naombeni msaada wenu

    K Kwa Mbez beach-masaki-Mikochen hayo mambo ni kawaida
  5. Pzika

    Nataka kufahamu pesa inayoweza tumia kampuni kubwa kutangaza bidhaa zake

    Bajet inategemea na media au msanii gani wakukupa promo ila bajet ya uhakika angalau weka milion 20 tafuta adi vipage vya udaku na msaani wa kawaida ila ukitaka msanii mkubwa wale wanakula kuanzia milion 200.
  6. Pzika

    Nataka kufahamu pesa inayoweza tumia kampuni kubwa kutangaza bidhaa zake

    Kiasi inategemea na ukubwa wa kampuni ndo maana watu kma azam wao bidhaa zao wanatangaza kwa kutumia tv yao au timu yao. Pili kwa mtu ambae anaanza lazima utafute watu wenye ushawishi.
  7. Pzika

    Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

    Yani nguvu zte unamtime dem kalala ndo unampga kwl
  8. Pzika

    Phone4Sale Iphone 11 inauzwa

    Iphone 11 128Gb duos 1.85M PURPLE 💜 Apple warranty available Call/whatsapp:::0715767420 Delivery mpaka mikoani
  9. Pzika

    Phone4Sale Samsung a2 core

    SAMSUNG A2 core Used condition Phone n box 150,000/= Call/whatsapp:::0715767420
  10. Pzika

    Manunuzi Banggood na Gearbest

    Sio kila site unapotaka kununua wanakua wanatuma nchi za east Africa ni site chache sana wanfanya ivyo
  11. Pzika

    Jiji la Mwanza vs Jiji la Arusha: Lipi ni zaidi kwenye hili?

    Arusha haiwez kuifikia mwanza hta nusu mzee kma arusha wanajisifia kwa utalii hta mwanza wao pia wanajisifia kua kituo kikuu cha mzunguko wa pesa kanda ya ziwa yote Arusha kuifikia mwanza ngumu sana na haitoweza
  12. Pzika

    Kijana wangu anakesha kwenye games analala alfajiri

    Acha kulalamika c bora unakua na uhakika na mwanao yupo ndani tuu je angakua cha pombe ungesemaje cha muhimu muache tuu au asbh toka nae kma offc yako inaruhusu uwe unamkeep busy thn jion anarud amechoka japo htacheza lkn sio sana
  13. Pzika

    Phone4Sale Samsung a2 core inauzwa

    Mpya 200-190
  14. Pzika

    Phone4Sale Samsung a2 core inauzwa

    150 top
Back
Top Bottom