Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 800
- 1,050
Habari zenu wakuu!? Niende moja kwa moja kwenye lengo langu
Nahitaji kuuliza kuwa.
Ni Muda gani kipimo Cha HIV kinaweza kudetect tangu ujamiiane na muathirika??
Je, Possibility Ipo ya Kutoathirika Baada ya kujamiiaana na muathirika?
MREJESHO:
Nahitaji kuuliza kuwa.
Ni Muda gani kipimo Cha HIV kinaweza kudetect tangu ujamiiane na muathirika??
Je, Possibility Ipo ya Kutoathirika Baada ya kujamiiaana na muathirika?
MREJESHO:
Asee! Nashukuru kwa ushauri wenu ila nimshapata suluhisho kuwa yeye sio muathirika na nimemuomba nipime nae akakubali....Siri ya kufanya yote Yale Ni kuwa amefanya Kama zawadi kwangu kumbe anatarajia kuingia kwenye ndoa na mwanaume mwingine na nilikuwa mpenzi wake kwa Muda mrefu ila nilikuwa mbali nae kwakuwa nilikuwa namalizia masomo (A Level) .....hapa amenitoa hofu ila asee dozi aliyonipa sitawahi kumsahau na nimekoma pia....
NB:Tuache Zinaa Jamaani Hali niliyopitia Mimi Ni hatari na nusuView attachment 1501731