Aisee kuna sisi tunachelewa sana kurudi nyumbani hivyoo ata muda wa kukaa kuangalia Tv inakua shida. Sasa binafsi hua mara nyingi najikuta natazama taarifa ya habari ya UTV Ile ya Azam saa 6 marudio ya Ile ya saa 2. Baada ya taarifa ya habari Kuna kipindi kinafuata kinaitwa Playlist.Host wake...
Habarini wakuu.
Kumekua na masoko mengi jijini dar es salaam. Ambayo kutokana na kadhia wanazopata wakati wa mchana kutoka kwa mamlaka za jiji. Wafanyabiashara wa masoko hayo. Wao wameamua kufanya biashara zao nyakati za usiku.
Hivo kua na uhitaji wa umeme katika maeneo hayo. Lakini pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.