Hii kitu toka nimeifahamu mwaka 5 huu sijawahi jutia. Ukiinywa iwe umejipanga Sana kuanzia akili na afya ya mwili.
Kitu inaitwa "Black & White" alcohol content 40%.
Hongereni sana mkuu Maxence Melo na team nzima ya JamiiForums .
Tutegemee huduma nzuri zaidi na zenye viwango kuliko ilivyokuwa kipindi cha nyuma.
Yajayo yanafurahisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.