Hyo kawaida wanaume tunacheza pungufu kina watu kama kina uncle T, na juma lokole wanatakiwa kuwakilishwa wale.
mi siogopi kutongoza siangalii umri kuna mshangazi mmoja unafanya kazi oman ilikuwa tunaheshimiana hivi hivi ila sasa hivi akirudi lazima anitafute na kila kitu analipia yeye lakini...
Huyo ndio sababu kante anakaa bench pale France kuna video moja inaonekana wachezaji wote wa France walienda kumsalimia ila kante alipita mazima itakuwa hakumuoma na huo ndio ukawa ugomvi wao ulipoanzia.
Mkuu mbona unaingia kwenye mtego kirahisi sana kama huzijuia simba na Yanga hao ni jamii ya kina mchome mkuu wanaitukuna simba halafu wanaonekana karibu na viongozi wa yanga wale top kabisa hilo tukio la kutengenezwa tu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.