Recent content by pwilo

  1. pwilo

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka Yanga anafanyiwa hujuma ili kusudi Simba achukue ubingwa angalau mzani ubalance

    Uko sahihi na juzi simba wamemfukuza kocha wa yanga
  2. pwilo

    JamiiForums Tanzania Chama ni mtego kwa Simba msimu ujao

    Tutamchukua musa bala conte machine ya kazi izibe nafasi yake
  3. pwilo

    JamiiForums Tanzania Hii Tuzo Waziri anahusika.

    Real Madrid ni team kuwa duniani sio kwasababu ya laliga ila ni kwasababu ya mashindano ya nje
  4. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Kweli mkuu wanawake wengi tupo nao tu hvyo hvyo ila wengi ni vimeo mkuu
  5. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Inabidi nifanye hvyo mkuu
  6. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Ni kweli mkuu kuna jamaa anajiita professor Tony ilikuwa anakunywa pombe na maandazi ila sasa yamemkuta anaanza kuomba msaada mitandaoni
  7. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Ukimuona mtu humu hasa hawa wadada ni age go kweli kuna siku niliomba namba nikapiga simu baada ya kuongea akaniambia wewe mtoto mdogo unikome kuanzia leo ila wanavyochangia humu ni kama gen z ila ni mishangazi ndio maana wanahasira na visirani.
  8. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Hapana mkuu tutawakosa mashekh ila tukimaliza kikao tutapata bia na kitimoto ili tusiwapoteze mashekh
  9. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Unaruhusiwa mkuu kama wanavyofanywa chadema na police wa CCM [emoji3][emoji3]
  10. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Sijamaanisha hvyo mkuu nimemaanisha ukimaliza kutimiza majukumu yako kama baba au mume basi usijisahau unakuta mtu kuvaa havai vizuri kula hali vizuri kwasababu ya kuwekeza kupitiliza kwenye familia basi hicho kidogo unachopata jipendelee na ww usijisahau mkuu
  11. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Kuna jamaa huko yashamkuta tayari ila wanaume sijui nani alituroga hatujijali hata kidogo
  12. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Pamoja sana mkuu
  13. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Ukikuta mtu kwenye simu yake ana jamii forum app basi ujue hyo sio mnyonge otherwise itakuwa umekosea njia huku ni ma great thinkers tu [emoji3][emoji3]
  14. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Humu kuna mpaka mawaziri na makatibu wakuu wote mpaka president yupo huku hakuna wanyonge na walikataa kuitwa wanyonge kipindi cha magufuli [emoji3]
  15. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    We unaonaje kuna mtu anaweza kutumia jamii forum bila kuwa na ukwasi humu ni levels [emoji3][emoji3]
Back
Top Bottom