Sio kwamba siyajui mambo hayo ila tu mimi sijawahi kwenda ila kwa maisha ya watanzania hakuna ambaye hajapitia au kuona mambo hayo katika jamii ni vitu vya kawaida.
Hizo zinaitwa emerging contaminants :-
Microplastic
Volatile organic matter (zile rangi wanazotumia kupuliza na dawa kama rungu)
That's is the shortest way to cancer.
Sijawahi kwenda kwa mganga maisha yangu yote nikiwa na jambo Natoa sadaka natia nia .
Kwenye gari nampisha mzee na mjamzito na mwenye uhitaji hizo ndo sadaka zangu.
Tangia darasa la saba mpaka form one na chuo ni dua tu na zimesaidia sana kwakweli
Hyo kawaida wanaume tunacheza pungufu kina watu kama kina uncle T, na juma lokole wanatakiwa kuwakilishwa wale.
mi siogopi kutongoza siangalii umri kuna mshangazi mmoja unafanya kazi oman ilikuwa tunaheshimiana hivi hivi ila sasa hivi akirudi lazima anitafute na kila kitu analipia yeye lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.