Recent content by pwilo

  1. pwilo

    Nassoro Mwinchui ni Simba lialia lakini tumtayarishe kuchezesha CAF.

    Ragiga kafungiwa mara ngapi kwa kuipendelea Yanga
  2. pwilo

    Vitu vitatu vitakavyoiua Simba SC kwenye dabi ya kariako 1/03/2036

    Kwa hyo shomari kapombe ni mzee ila yanga wamemsajili mohammed hussein under twenty kutoka simba na anaanza panga pangua mmetisha mtani
  3. pwilo

    Eti refa akiharibu mchezo wa kesho tutamfunga!

    Wazee wakushinda 6 kwenye league ila wakifika kimataifa chalii
  4. pwilo

    Augustino Polepole: CDF Mkunda jeshi unalipeleka tofauti sana na tulivyofundishwa, Polisi wanateka watu halafu wanawapeleka kambi za jeshi

    Shida kubwa kule jeshi la police uvccm wapo wengi sana na ndio wasuka mipanga yote
  5. pwilo

    Ramadhan Special Thread

    Wanaofunga ni wale wanaokazia na maji mchana wafuasi wa mitume ya kiswahili
  6. pwilo

    Tumeshuhudia ufanano kadhaa kwa maeneo ya Uislamu na kile kimeandikwa kwenye Biblia, na desturi za Uyahudi na Ukatoliki. Unajua sababu?

    Ni kweli uislamu una takataka ila hili la papa kubariki jinsia moja kanisani hyo haina come back
  7. pwilo

    Nakuja kwako, ila hatufanyi kitu 🤭

    Kukataaa ndio kukukubali kwa mwanamke
  8. pwilo

    Mke wangu kaacha ndoa yake kisa kazi

    Kuwa makini maana kuna kuteswa na mapenzi na kuteswa na mwanamke hivyo ni vitu viwili tofauti.
  9. pwilo

    Nipeni njia ya kusafisha mkojo bila kutumia dawa

    Medicine don't heal they mask the symptoms Maji ndio njia sahihi we need to deal with extracellular cleaning and body physiology hao madokta wa bongo wanameza sana tangia watuingize mkenge kwenye chanjo ya corona sina imani nao
  10. pwilo

    Ramadhan Special Thread

    Kufunga si mateso sheh na njaa ya mchana na usiku ni tofauti
  11. pwilo

    Tumeshuhudia ufanano kadhaa kwa maeneo ya Uislamu na kile kimeandikwa kwenye Biblia, na desturi za Uyahudi na Ukatoliki. Unajua sababu?

    Jamaa mrashia amekula toto zenu za kikatoliki tena mmoja kamtoa kanisani kabisa ni kweli uisalamu una changamoto zake ila kulinganisha na ukristo ni kosa kubwa sana
  12. pwilo

    Kama umewekeza kwenye hisa za CRDB toa hela yako mapema. Mporomoko mkali waja

    We wadanganye wenzako hzo hela hazina tofauti na na hela za wastaafu siku akija raisi kichaa mtasaga meno.
Back
Top Bottom