Ukimuona mtu humu hasa hawa wadada ni age go kweli kuna siku niliomba namba nikapiga simu baada ya kuongea akaniambia wewe mtoto mdogo unikome kuanzia leo ila wanavyochangia humu ni kama gen z ila ni mishangazi ndio maana wanahasira na visirani.
Sijamaanisha hvyo mkuu nimemaanisha ukimaliza kutimiza majukumu yako kama baba au mume basi usijisahau unakuta mtu kuvaa havai vizuri kula hali vizuri kwasababu ya kuwekeza kupitiliza kwenye familia basi hicho kidogo unachopata jipendelee na ww usijisahau mkuu
Ukikuta mtu kwenye simu yake ana jamii forum app basi ujue hyo sio mnyonge otherwise itakuwa umekosea njia huku ni ma great thinkers tu [emoji3][emoji3]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.