Hii tasnia ina mauza uza sana wanalogana sana kuna director mmoja anaitwa jowzetz na yeye ali paralyse ikawa ana direct videos huku amelala ila sasa hivi ana nafuu yaani ukijisahau kufanya tambiko la mwaka wanakula kichwa faster hawachelewi.
Ujasiri wa kumuelezea mwanamke hisia unatoka wapi wakati mifuko mitupu ukimaliza tu kuchukua namba mizinga inaanza unadhani wanaume ni ma bogus sio tatizo wanawake mmeweka tamaa ya pesa mbele.
Wanawake wajanja sana jichanganye uje na uzi mwingine kiufupi hizo story zote alizokupa binti ni za uongo amekuingiza King umejaa utapigwa tukio moja hutasahau mpaka unaingia kaburini hakuna mwanamke mjinga kiasi hicho aache kazi kisa mume yaani mpaka hapo hujashtuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.