Recent content by pwilo

  1. pwilo

    Wamarekani wanamuhitaji Donald Trump sasa kuliko walivyomuhitaji mwaka 2016

    Mbona hilo lipo wazi hata wale katuni maarafu walishatabiri tayari nenda kaangalie YouTube.
  2. pwilo

    Mzazi aliejikuta mzungu kumpa simu mtoto wa shule ya msingi yamtokea puani, Mtoto kaanza kucheki X na kujichua akiwa na miaka 8 tu

    Ushamba tu mtoto wa Christian Ronaldo mpaka leo hana simu na wala hana official social network account ila wa wabongo wanajifanya wazungu.
  3. pwilo

    Lissu and the Company, wamefaidi matunda ya Muungano wamewapa watoto wao uraia wa nje, sasa Wanapotosha vijana, tuwakatae kwa nguvu zote

    Acheni ujinga yule mbunge aliyedai zanzibar tuende na passport amechukuliwa hatua gani.
  4. pwilo

    Kuoa mwanamke mwenye kipato cha juu ni kijitafutia stress

    Kuna tofauti kati ya mke na mwenza vijana wengi wanaacha kuoa mke wanaoa mwenza.
  5. pwilo

    Inauma sana na haivumiliki

    Inawezekana kipindi hana kitu ilikuwa unamdharau.
  6. pwilo

    TANZIA Director Khalfani afariki Dunia

    Hii tasnia ina mauza uza sana wanalogana sana kuna director mmoja anaitwa jowzetz na yeye ali paralyse ikawa ana direct videos huku amelala ila sasa hivi ana nafuu yaani ukijisahau kufanya tambiko la mwaka wanakula kichwa faster hawachelewi.
  7. pwilo

    Usitarajie kuwa na ndoa imara kwa uzembe wako wa kwenda kuoa familia ya kiswahili swahili

    Jifunze kuandika vizuri au uache kujiita dokta chagua moja.
  8. pwilo

    Wanaume wa siku hizi ni waoga kueleza hisia zao

    Ujasiri wa kumuelezea mwanamke hisia unatoka wapi wakati mifuko mitupu ukimaliza tu kuchukua namba mizinga inaanza unadhani wanaume ni ma bogus sio tatizo wanawake mmeweka tamaa ya pesa mbele.
  9. pwilo

    Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

    Piga mzigo wengine waume zao mnara hausomi 4G wa sukari na waume zao huwaruhusu wapige mzigo.
  10. pwilo

    Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

    Piga mzigo wengine waume zao mnara hausomi 4G wa sukari na waume zao huwaruhusu wapige mzigo.
  11. pwilo

    Mke wangu analalamika simridhishi, nataka nisimuoe

    Kama unataka ku feli kwenye maisha endelea kumsikiliza mwanamke.
  12. pwilo

    Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

    Wanawake wajanja sana jichanganye uje na uzi mwingine kiufupi hizo story zote alizokupa binti ni za uongo amekuingiza King umejaa utapigwa tukio moja hutasahau mpaka unaingia kaburini hakuna mwanamke mjinga kiasi hicho aache kazi kisa mume yaani mpaka hapo hujashtuka.
  13. pwilo

    Usitarajie kuwa na ndoa imara kwa uzembe wako wa kwenda kuoa familia ya kiswahili swahili

    Dokta unashindwa kuandika vizuri usitalajie ndio nn
  14. pwilo

    Hii video ina-trend ya namna kijana Ali alivyonyanyaswa na kubaguliwa Zanzibar

    Jamaa wana roho mbaya sana sijapata kuona.
Back
Top Bottom