Recent content by pwilo

  1. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Hyo kawaida wanaume tunacheza pungufu kina watu kama kina uncle T, na juma lokole wanatakiwa kuwakilishwa wale. mi siogopi kutongoza siangalii umri kuna mshangazi mmoja unafanya kazi oman ilikuwa tunaheshimiana hivi hivi ila sasa hivi akirudi lazima anitafute na kila kitu analipia yeye lakini...
  2. pwilo

    JamiiForums Tanzania Enyi wanaume wenye wazazi kumbukeni na wazazi wenu sio mna base upande wa wake zenu tu

    Wanawake wa kiswahili wana roga si mchezo usilaumu sana mkuu
  3. pwilo

    JamiiForums Tanzania Inashangaza wanaoshambulia single mothers kumtetea Sheikh Walid kwa wivu mkubwa

    Ogopeni wanawake na moto
  4. pwilo

    JamiiForums Tanzania Masikini Hamphery Polepole, uzalendo umemponza. Hakuna hata mtanzania anemuulizia shujaa huyu.

    Hapana hatujamsahau ila kwenye ukombozi hvyo ni vitu vya kawaida sana
  5. pwilo

    JamiiForums Tanzania Mpira wa miguu una uhusiano wa moja kwa moja na jamii ya Siri (wajezi huru)

    Sio kwenye mpira hao ndio wanahusika na tuzo duniani na michezo mbalimbali mpaka wana siasa ndio kwao hko.
  6. pwilo

    JamiiForums Tanzania Skendo na Memes za Mbappe kuwa Dikteta zinazidi kuTrend kwenye mitandao ya kijamii

    Huyo ndio sababu kante anakaa bench pale France kuna video moja inaonekana wachezaji wote wa France walienda kumsalimia ila kante alipita mazima itakuwa hakumuoma na huo ndio ukawa ugomvi wao ulipoanzia.
  7. pwilo

    JamiiForums Tanzania Uongozi: Klabu ya Azam kwetu ni hasara sana. Haina faida yoyote ndo maana ni bora tujitoe tu

    Ile ni club ya matangazo sio ya mpira kama wanataka hela wajipange wachukue caf champions league kule kuna hela sana.
  8. pwilo

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba FC Washambulia Jengo la Yanga FC kwa Mawe. Ni wakati wa Paredi la Simba

    Mkuu mbona unaingia kwenye mtego kirahisi sana kama huzijuia simba na Yanga hao ni jamii ya kina mchome mkuu wanaitukuna simba halafu wanaonekana karibu na viongozi wa yanga wale top kabisa hilo tukio la kutengenezwa tu .
  9. pwilo

    JamiiForums Tanzania Kuna shaka na walakini (conspiracy theory) katika kila kifo cha waliokuwa marais wa Tanzania isipokuwa Mwinyi peke yake

    Elewa nilichoandika simaanishi kuwashtaki au kuwakama na wameanza na mhagama juzi kaenda mzee wa iringa aluta continue
  10. pwilo

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka Yanga anafanyiwa hujuma ili kusudi Simba achukue ubingwa angalau mzani ubalance

    Uko sahihi na juzi simba wamemfukuza kocha wa yanga
  11. pwilo

    JamiiForums Tanzania Chama ni mtego kwa Simba msimu ujao

    Tutamchukua musa bala conte machine ya kazi izibe nafasi yake
  12. pwilo

    JamiiForums Tanzania Hii Tuzo Waziri anahusika.

    Real Madrid ni team kuwa duniani sio kwasababu ya laliga ila ni kwasababu ya mashindano ya nje
  13. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Kweli mkuu wanawake wengi tupo nao tu hvyo hvyo ila wengi ni vimeo mkuu
  14. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Inabidi nifanye hvyo mkuu
  15. pwilo

    JamiiForums Tanzania Wanaume pitieni hapa kuna kikao

    Ni kweli mkuu kuna jamaa anajiita professor Tony ilikuwa anakunywa pombe na maandazi ila sasa yamemkuta anaanza kuomba msaada mitandaoni
Back
Top Bottom