Recent content by Pweza Boy

  1. Pweza Boy

    Watu mnaojitia mna maono ya nchi mwambieni Mungu awaonyeshe riziki na ajira na masoko zitapatikana wapi badala kuhangaika na serikali

    MUNGU ANASEMA SERIKALI HII HII TUNAYOHANGAIKA NAYO NDIO INAFANYA RIZIKI, MASOKO NA AJIRA HAZIONEKANI.
  2. Pweza Boy

    Pendekezo: Kuanzishwe Kodi mpya ya Kusanyiko la watu

    Ungeandika tu kwa kifupi "SERIKALI IPIGE MARUFUKU MIKUTANI YA CHADEMA". kila mtu angekuelewa
  3. Pweza Boy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na asiwekw afkumi kwa maramoja. Aweke hata buku mbili mbuli awamu tano tofauti(kila baada ya dkk10/15 hv). Ili njia ya kutoa ihame toka Tigopesa iende kwa Wakala
  4. Pweza Boy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Unataka mawakala wakuoneshe ushirikiano wakati na wewe hukuonesha ushirikiano kwa kudeposit kupitia wao?? Hakuna wakala atakayekusaidia hapo. Na epuka sana kutumia njia za Tigopesa sijui Mpesa. Zinaondolewaga mara kwa mara. Tumia mawakala
  5. Pweza Boy

    FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

    Simba wanaona wivu sana Watu wengine wakifungwa na Yanga. Kwani mnataka muwe mnafungwa pekeyenu??? ??? Kwasababu mmefungwa mara nne mfululizo basi mnadhani nyie ndio wake halali wa Yanga? Hamtaki na wengine waliwe???? Mtulie kila mmoja atafungwa zamu yake ikifika. Hii ni ndoa ya kiislamu. Mitala...
  6. Pweza Boy

    Bunge la Iraq limepitsha rasmi sheria ya kuhalalisha ndoa za wasichana wenye umri wa miaka 9

    Mtume mwenyewe alioa Bi Aisha akiwa na Miaka 6 tu.... Naomba hiyo miaka 9 ipunguzwe tena mpaka 6. ALLAHU AKBAR!
  7. Pweza Boy

    Bunge la Iraq limepitsha rasmi sheria ya kuhalalisha ndoa za wasichana wenye umri wa miaka 9

    Mtume mwenyewe alioa Bi Aisha akiwa na Miaka 6 tu.... Naomba hiyo miaka 9 ipunguzwe tena mpaka 6. ALLAHU AKBAR!
  8. Pweza Boy

    Yanga imekata moto, Ijiandae kwa vipigo

    Sawa mungu-Mtu
  9. Pweza Boy

    FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

    kila la heri Mapumbululu ninyorosheee hawa Makolo
  10. Pweza Boy

    Simba imewezekanaje kuanza msimu bila kusoma mapato na matumizi kwa wanachama wake?

    Mmeambiwa imetumika bilioni 7. Tulieni msisumbue watu
  11. Pweza Boy

    Karabaka, nyota wa Simba asiyeimbwa

    Yaani hata Duke Abuya hatumuimbi hivi mnataka aimbwe huyo dogo?? Mnaumwa mavi?
  12. Pweza Boy

    PreGE2025 Mbowe ameongoza CHADEMA miaka 20, aruhusu mawazo mapya

    CCM IMEONGOZA TANZANIA TOKA UHURU.... iruhusu Mawazo Mapya. Itoke waingie wengine. ASANTE
  13. Pweza Boy

    Rwanda tulijazana coaster 7, South imekuwaje?

    Hivi huwa mnatumia Makalio kufikiria au?? Unafananisha Tz-Rwanda na Tz-South Afrika...?? Mbona hauhoji kwanini Simba walienda mabasi mawili Zambia lakini Egypt hawajapeleka hata moja.?? Upuuzi mtupu HUNA AKILI
Back
Top Bottom