Sio kila aliye soma elimu imemsaidia wengine huenda shule kukua na kupunguza disturbance nyumbani huyu dogo anawezakuwa mojawapo. Hata hivyo mwana FA. Is lolote kwa JDEEE mama uko juu wanakupiga teke ni kama wanakuongezea mwendo upo juu sana hii takataka isikupotezee appetite
umesema kweli kabisa kuwa mfanyakazi wa serikali au kuajiria kusiwe kigezo cha mtu kuchindwa kujitafutia maendeleo yake nakubaliana nawe kabisa sio kila mtu kwa sababu yuko serikalini basi umjudge kutokana na kipato chake wapo waliopata pesa au kufanya biashara kabla ya kupata kazi na walipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.