Recent content by puruwanji

  1. P

    Natafuta soko la matunda ya passion

    Habari yako mkuu .. Passion bado unazo??. Na kama unazo Upatikanaji wako ukoje nakusudia uzalishaji wako ningependa kujua hivyo ili tuonge biashara. Na kama itawezekana naomba nambari yako ya sim tuonge zaidi.
  2. P

    Nauza passion fruits

    Habari yako mkuu.. Vipi passion bado unazo? Na naweza kupata more details zake aina gani unayo??.. na kwa wingi gani naweza kupata namaanisha idadi ton??na kwa kila mda gani unakua nazo.. na bei pia kama nikiwa nachukuwa kwa wingi jee.. utanipa punguzo bei nzuri... na picha kama zipo...
  3. P

    Kumbe kitunguu saumu kinalipa hivi

    Mkuu asante sanaa nitajaribu hivyo ila nilikua na wasiwasi kwa huku kwetu sisi watu wa visiwa tumezungukwa na bahari. Ila nitajaribu nashkuru sanaa kwa msaada wako
  4. P

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Wadau habari za mjengoni naomba niulize wataalamu wa vitunguu saumu.. kwa kanda ya pwani vinakubali kulimwa mm nipo zanzibar naomba ushauri au maelekezo kwa anaejua anisaidie tafadhali. Ahsante
  5. P

    Kumbe kitunguu saumu kinalipa hivi

    Jamani wakuu waliolima vitunguu thom (saumu) tusaidieni jamani na sisi tupate elimu ya kujua jinsi ya kulima. Hekari moja kilo ngapi zinahitajika kupanda. Changamoto zake zikoje. Udongo wa aina gani unakubali mpaka mavuno yake ahsanteni
  6. P

    Kuku chotara aina ya kuroiler, wanapatikana sasa Mbeya na Songwe

    saf safu sana naweza kupata bei zenu tafadhali
  7. P

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Ww unamjua mganga gani???
  8. P

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Hahahahahahaha ku deal nq mganga moja kwa moja ni ushirikina mkuu
  9. P

    Ukienda kutafuta maisha kwenye mikoa hii ni ngumu sana kutoboa

    Wakuu wa bukoba naomba niwaulize kuna yoyote anaeuzs vanilla kavu sio mbichi kama yupo nahitaji vanilla na bei yake kwa kilo
  10. P

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Aaaah... inamaana mshamba imekuuma sasa ww jee ulivyoniambia nimetumwa na mganga wangu inamaana mm mshirikina sasa lipi tusi kubwa hapo mkuu mshambaa au mshirikina...😆😆😆
  11. P

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    O Ohk shukran sanaa nitajaribu kuitafuta hahahaha nyeusi mm sina ninazo ya blue😂😂😂
  12. P

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Ndugi yangu acha ushamba iliki za kijani zipo na nyingi zao hutoka india ila nimesikia tanzania wameanza kulima na wao na kama hujii iliki kijani ina bei kubwa kushinda hii ya kawaida
  13. P

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Mdingi wako si ndio mganga wangu kakudokoleza.nn umejuajeee😂😂😂😂😂
  14. P

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Wakuu mm nahitaji iliki ya kijani jee nitapataje
  15. P

    Nahitaji Vanilla

    Niko zanzibar unguja
Back
Top Bottom