Recent content by PURT50

  1. PURT50

    Lusinde amvaa Amunike kweupe

    Poor # Amunike
  2. PURT50

    Lusinde amvaa Amunike kweupe

    Poor # Amunike
  3. PURT50

    Alichokisema Amunike baada ya gemu Lesotho

    Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars, Emmanuel Amunike amejibu suala LA wadau wengi wa soka nchini kulalamkia kitendo cha kutomwanzisha mapema straika John Bocco. "Hii ni Taifa Stars na sio Simba,mchezaji atapangwa kwenye mechi kulingana na kiwango alichokionesha mazoezini" alidai Amunike
  4. PURT50

    GE2020 Kampeni za uchaguzi 2020

    Tupo bize na mil50 za walipa kodi, Lesotho
  5. PURT50

    Lusinde amvaa Amunike kweupe

    Mbunge wa Mtera(CCM),Livingstone Lusinde ameitaka TFF kuandaa barua ya kumfuta kazi kocha wa Taifa Stars, Emmanuel Amunike ili akishuka tu uwanja wa ndege akabidhiwe.Lusinde ametoa kauli hiyo kufuatia Taifa Stars kulala bao 1-0 dhidi ya Lesotho mjini Maseru na kujiweka kwenye mazingira magumu ya...
  6. PURT50

    Lusinde amvaa Amunike kweupe

    Mbunge wa Mtera(CCM),Livingstone Lusinde ameitaka TFF kuandaa barua ya kumfuta kazi kocha was Taifa Stars,Emmanuel Amunike ili akishuka tu uwanja wa ndege akabidhiwe. Lusinde ametoa kauli hiyo kufuatia Taifa Stars kulala bao 1-0 dhidi ya Lesotho mjini Maseru na kujiweka kwenye mazingira magumu...
  7. PURT50

    Environmental Engineering

    Shukrani wakuu
  8. PURT50

    Presidency position

    Who told you that if you want to become a president unatàkiwa u join Illuminati?
  9. PURT50

    Was Magufuli the best choice?

    Exactly mkuu
  10. PURT50

    Was Magufuli the best choice?

    Hizi ni baadhi ya kauli za wapinzani miaka ya nyuma... 1.Tunataka rais ambaye hatààngalia surà yà mtu(John Mnyikà 2012 àkiwa Kilombero,Morogoro) 2.Tunataka Rais mkali asiyechekachekà na mtu(Peter Msigwa akihutubia Mbeya) 3.Tunàtaka Rais asiyesàfirisafiri nje(Freeman Mbowe akiwa Kànda ya Ziwa...
  11. PURT50

    Presidency position

    Thank you
  12. PURT50

    Presidency position

    Mkuu sio kwamba eti mârais was Tanzania ,nchi imewashinda Ila kila rais ameplay part yake kulingana na alivyoweza kufanya though nakubali kwamba even the president ni binadamu anakosea but all presidents in Tanzania did their best including the current president,hàta nchi zilizoendelea walianza...
  13. PURT50

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Exactly Magu anataka hii nchi iende mbele,ukizingua anakuweka pembenii
Back
Top Bottom