Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars, Emmanuel Amunike amejibu suala LA wadau wengi wa soka nchini kulalamkia kitendo cha kutomwanzisha mapema straika John Bocco.
"Hii ni Taifa Stars na sio Simba,mchezaji atapangwa kwenye mechi kulingana na kiwango alichokionesha mazoezini" alidai Amunike
Mbunge wa Mtera(CCM),Livingstone Lusinde ameitaka TFF kuandaa barua ya kumfuta kazi kocha wa Taifa Stars, Emmanuel Amunike ili akishuka tu uwanja wa ndege akabidhiwe.Lusinde ametoa kauli hiyo kufuatia Taifa Stars kulala bao 1-0 dhidi ya Lesotho mjini Maseru na kujiweka kwenye mazingira magumu ya...
Mbunge wa Mtera(CCM),Livingstone Lusinde ameitaka TFF kuandaa barua ya kumfuta kazi kocha was Taifa Stars,Emmanuel Amunike ili akishuka tu uwanja wa ndege akabidhiwe.
Lusinde ametoa kauli hiyo kufuatia Taifa Stars kulala bao 1-0 dhidi ya Lesotho mjini Maseru na kujiweka kwenye mazingira magumu...
Hizi ni baadhi ya kauli za wapinzani miaka ya nyuma...
1.Tunataka rais ambaye hatààngalia surà yà mtu(John Mnyikà 2012 àkiwa Kilombero,Morogoro)
2.Tunataka Rais mkali asiyechekachekà na mtu(Peter Msigwa akihutubia Mbeya)
3.Tunàtaka Rais asiyesàfirisafiri nje(Freeman Mbowe akiwa Kànda ya Ziwa...
Mkuu sio kwamba eti mârais was Tanzania ,nchi imewashinda Ila kila rais ameplay part yake kulingana na alivyoweza kufanya though nakubali kwamba even the president ni binadamu anakosea but all presidents in Tanzania did their best including the current president,hàta nchi zilizoendelea walianza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.