Hilo swali lako la kijinga yani kijinga/ kulipiza mashambulizi Kwa Iran unaona ubaya.Nadhani maswali yako ilibidi yawe marekani ameenda kufanya nini Iran.....Upumbavu wa watu kama wewe ndo mana ccm wapo madarakani hadi leo
Mungu doesn't exist (mungu hayupo na hajawahi kuwepo) sijuwi kwanini watu bado wana amini hizi stori za uongo.
Ngono za uwepo wa mungu ni binadamu tu aliyetunga baada ya kuanza kuwa civilized na kugundua lugha. Ndo mana ile miungu ya zamani ilikuwa inaonekana na ilikuwa na maumbile ya binadamu(...
Kuna nadharia ya kuwa wakati unakimbia mwili unatumia sugar kama chanzo cha Nishati badala ya mafuta lakini ukiwa unatembea kile kiasi cha oksijen kinaenda kuchoma mafuta Moja Kwa moja
Habari za muda wana jf.
Kwa wale wapenzi wa workouts, jogging, lifting weights, HIIT cardio na abs hapa ni jukwaa letu sahihi la kujadili ana na kubadilishana mawazo.
Kwenye platform mbalimbali za mitandao ya kijamii kumekuwa na mabishano makubwa sana miongoni mwa trainers! Na mabishano hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.