Pole sana.
Hali hiyo inawakuta watu wengi hasa wale wanaotaka kuanza Kwa mara ya kwanza ila zipo namna ambayo unaweza ukaanza na ukaendelea bila tatizo.
Niweke hapo juu njia za kupita lakini pia naweza kukuongoza na kukusaidia hadi ukapata mafanikio yako
Unajua Kuna ile hali ya unatamani kuanza mazoezi ila haujuwi una anza anza vipi,ni mazoezi Gani sahihi ya kuanza nayo kulingana na mahitaji yako,lakini pia Kwa beginer lazima aanze na mazoezi mepesi ili kesho aweze kuendelea.
Hapo kunahitaji mwongozo na motivation
Pole sana Kwa hiyo changamoto.
Hali hiyo haipo kwako pekee yako bali Kwa watu wengi wale wanaotaka kuanza Kwa mara ya kwanza na akijitahidi kuanza mwendelezo wanakuwa hawana.
Unakosa hamasa tu ila unaweza kuanza Kwa kufanya mambo haya.
1.kama ni mtuamiaji wa mitandao basi anza kutembele page za...
Hilo swali lako la kijinga yani kijinga/ kulipiza mashambulizi Kwa Iran unaona ubaya.Nadhani maswali yako ilibidi yawe marekani ameenda kufanya nini Iran.....Upumbavu wa watu kama wewe ndo mana ccm wapo madarakani hadi leo
Mungu doesn't exist (mungu hayupo na hajawahi kuwepo) sijuwi kwanini watu bado wana amini hizi stori za uongo.
Ngono za uwepo wa mungu ni binadamu tu aliyetunga baada ya kuanza kuwa civilized na kugundua lugha. Ndo mana ile miungu ya zamani ilikuwa inaonekana na ilikuwa na maumbile ya binadamu(...
Kuna nadharia ya kuwa wakati unakimbia mwili unatumia sugar kama chanzo cha Nishati badala ya mafuta lakini ukiwa unatembea kile kiasi cha oksijen kinaenda kuchoma mafuta Moja Kwa moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.