Wana JamiiForums leo nimekutana na hii katuni iliyochorwa na Masoud Kipanya, kwa hakika inatoa tafsiri ya mambo mengi yanayoendelea hapa nchini hivi sana.
Waswahili walisema mwenye macho haambuwi tazama.
Uzi tayari.....
Mkuu Paschal Mayalla, kaka mkubwa, Ngosha. Nimefuatilia sana Makala zako, hakika una roho ya unabii. Mengi uliandika yakatokea baadae, wewe Ni kichwa. Nilikwazika ulipogombea ubunge kawe kwa sababu nilikuwa hutafanikiwa hapo una uwezo mkubwa, hapa tatizo Ni mfumo, hautaki watu wa aina yako. Siku...
Hiyo M. 50 ni pesa kidogo sana kwao. Huyo binti amesoma Isamilo international school, ambayo ada yake ya mwaka ni zaidi ya M. 16 kwa mwaka. Hata huko kwa biden USA bachelor na masters amesomeshwa na wazazi. Lema enterprises ni multi billion company.
Huyo binti wa Mwanza anayeuza kande maofisini, anafanya hiyo biashara for leisure, kwao ni matajiri kupindukia. Ukifika Mwanza ulizia tajiri Lema. Habari utazipata kwa ukwasi walionao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.