Recent content by Punche

  1. P

    Humphrey Polepole: Tuwe makini na wahuni, wanaweza kuipiga copy serikali

    Ndugu Polepole umekisoma hiki kitabu? Ufafanuzi wa kina kabisa wa post yako unapatikana humo ndani. Nimeona wewe umeguswa pia humu ndani. Au labda ni mtazamo wangu
  2. P

    Kumi bora ya waandishi mahiri wa hadithi za Kiswahili

    Kuna mwandishi anaitwa DR. DYABOLI. Huyu jamaa ni moto wa kuotea mbali. Ukisoma kitabu chake kinachoitwa WASOMI WAJINGA utagundua moja kwa moja kwamba huyu jamaa anacheza ligi moja na akina Profesa Kezilahabi na Shaaban Robert. Hao wengine akina Ben Mtobwa na wengineo utawasifia kama wewe sio...
  3. P

    Zitto Kabwe: Vitabu nilivyosoma Mwaka 2022

    Ungesoma na kitabu kinaitwa WASOMI WAJINGA cha mwandishi Dkt. Dyaboli ungejifunza jambo pia humo ndani
  4. P

    Maarifa Hatari: Embu tujifunze na kumjadili huyu Shetani vizuri

    Shetani ni Serafi mkuu, sio Kerubi. Maandiko mengi yanamtambua Shetani kama "An angel of THE HIGHEST ORDER, once loved above all others." Kuna kitabu cha mwandishi mmoja anaitwa Dr Dyaboli kinaitwa HOW TO SELL YOUR SOUL TO SATAN kimeichambua kwa undani sana nadharia ya shetani kwamba huyu...
  5. P

    Somo la jinsi ya kutongoza kuingizwa rasmi kwenye mtaala wa elimu nchi jirani

    Mimi nimebahatika kupata kilichoandikwa kwa lugha adhimu ya Kiswahili. Nimekipata hapa JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE YEYOTE UKAMPATA: Mbinu 7 Rahisi Zilizosaidia Mamilioni ya Wanaume Duniani Kote - Malezi na mahusiano - Buy books - We have the best and affordable books
  6. P

    Nashindwa kutongoza. Naona aibu

    Msome huyu daktari anaitwa Dkt. Dyaboli. Kitabu kinaitwa JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE YEYOTE UKAMPATA. Binafsi kimenifunza mengi kuhusu akili ya mwanamke na matunda tayari nayaona. Kitafute ukisome ndugu utarudi hapa kunishukuru
  7. P

    Somo la jinsi ya kutongoza kuingizwa rasmi kwenye mtaala wa elimu nchi jirani

    Kitabu nimeona kina madini ya kutosha ukiachilia mbali hizo seven simple techniques. Ila pia hakifiki hizo kurasa 500 mkuu, hata 100 hazifiki
Back
Top Bottom