Recent content by Psychotherapist

  1. P

    Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

    Mnaubaguzi sana Magamba,mbona Eco alivyopanda daladala mkasema sana,Misisiyem mnasena alikuwa field!!!
  2. P

    Wafanyakazi waliosambaza Video ya Dr. Slaa akiingia chumbani Serena Hotel wafukuzwa kazi

    According to labour law walichokifanya no kosa kubwa kimsing walistahili either kuonywa,kufukuzwa na kushtakiwa pamoja,adhabu dhidi yao ni sawa baada ya kupewa nafasi ya kujitetea,mwisho walichokifanya ni sawa kwa maslahi mapana kwa mustakabari waTaifa kuliko kazi zao
  3. P

    Lowassa ashindwa kujibu madai yake ya kwenda Vita vya Kagera

    Mzee Nakamba anapenda cheap politics, kama Taifa tunahitaji kuwa name mjadara mpana wa kitaifa juu ya Sera, vipaumbele na misingi ya Taifa name siyo ushabiki,Taifa liko kwenye "koma"
  4. P

    Lowassa ashindwa kujibu madai yake ya kwenda Vita vya Kagera

    By the way Watz tungependa kujua Sera za chama name rais ajae atatufanyia nn japo kututoa tulipo kama Taiga na siyo aliekwenda vitan so what?
  5. P

    Lowassa ashindwa kujibu madai yake ya kwenda Vita vya Kagera

    Nilijiunga na JW 1977 baada ya mafunzo ya a wali nilipangwa kuanza kazi Musoma na 78 Bukoba Kaboya na moja kwa moja mstari was mbele hadi Jinja ila sikuwahi kuandikishwa jina na JK ili kwenda vitani,Makamba afafanue!
  6. P

    Maoni ya Dr. Lwaitama Kuhusu Hotuba ya Dr. Slaa...

    Dr.Lwaitama ni miongoni mwa Wasomi wachache wa TZ wanaotumia vichwa kuwaza ....well altered Mwl wang
  7. P

    Kada wa CCM aliyemimina Risasi mbele ya Ofisi ya CHADEMA Bariadi,ahukumiwa kulipa Sh. 2,000/=

    Hivi yule Waziri mwandamizi mstaaf wa Zenji alifyatua au....Rage...Gwajima....na Vijisenti.....kwa nini Hakim hakumpatia 2nd option ya miezi 6 na kunyang'anywa haki ya kutomiliki tena silaha ya moto? Hebu wanasheria wa JF twambieni plz
  8. P

    Wanameru wasema ubunge kwa Nassari ni ndoto kuupata

    Kuhusu kuwafukuza kazi dereva na katibu wake,hebu tuangalie mamala za uteuzi/ajira zao,....nani anawaajiri,kwa utaratib upi,nan anawalipa mshahara......utaona kuwa huu ni utashi was MP binafsi kama ilivyo kwa wasaidizi wa ndan nk ambao kimsing mwajiri asipolizishwa name utendaji wao wala...
  9. P

    Wanameru wasema ubunge kwa Nassari ni ndoto kuupata

    Kwa kipindi kifupi Nassari alichokuwa MP kwa mtazamo Wang tukiweka Politics mbali Amefanikiwa kuwa karib zaid na wananch kwa kupaza sauti zao mfano kwenye issue za mashamba/land,maji,migogoro nk..kazi ya MP siyo kuchangia nondo Bali kuunganisha wananchi ile wajiletee maendeleo wenyewe kwa mikono...
  10. P

    Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

    Poleni wanadaslaam wote.
Back
Top Bottom