Recent content by Pslmp

  1. P

    Mahakama iweke zuio dhidi ya chanjo za UVIKO-19

    Kwani Ni lazima uwe mjinga?
  2. P

    Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

    Halafu ashindwe kuamulisha majeshi kukamata anayechukua mumewe?
  3. P

    Maneno ya dharau ya Askofu Gwajima kwa waliomzunguka Rais Samia

    Kumpinga Gwajima kwa matamko bila kujibu maswali yake! Ni kujianika
  4. P

    IGP Sirro: Hatuna barua ya kumkamata Askofu Gwajima, utaratibu ufuatwe

    Ukiwa na hasira sana usitoe maamuzi, kwa sababu ukitoa maamuzi, lazima utatoa boko
  5. P

    Askofu Gwajima Kaathiriwa na Filamu za Hollywood "Fiction movies" Pamoja na Mambo dhahania

    Ujinga mkubwa kabisa, ni kushindwa kujibu hoja na kuanza kufokea watoa hoja, na wewe ni miongoni mwao, wewe ni zuzu, jibuni hoja za Gwajima siyo kukimbila kubwabwaja na habari za filam!!
  6. P

    Askofu Gwajima Kaathiriwa na Filamu za Hollywood "Fiction movies" Pamoja na Mambo dhahania

    Wanasayansi kama wanaakili kama zako, nao kumbe ni mazuzu tu!! Ni mjinga tu anayeona hoja za Gwajima siyo hoja!
  7. P

    Waziri Gwajima aagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19

    Kuna wakati kwa sababu ya madaraka na mtu kutaka kujionyesha wewe ni nani hasa, ndio huwafanya wengi kuishia kuwa vituko badala ya kulinda heshima yako na kutambua wewe ni mtu uliyepo kwenye nafasi hiyo ni psmoja na kutoa majibu ya maswali ya watu unaowaongoza Kumkamata Askofu Gwajima, ni...
  8. P

    CHADEMA yampongeza Rais mpya wa Zambia, Hakainde Hichilema kwa ushindi wa kishindo

    Upinzani sio uadui, ila Upinzani wa Tanzania umejitengenezea uadui na chama tawala na vyama vingine vya Upinzani vinavyoamini upinzani wa vyama nchini si uadui
  9. P

    Askofu Kakobe: Msidanganyike pateni chanjo

    Hizi chanjo ni mhimu kujiridhisha kisayansi kwamba hazina madhara, pia, hizi cha njo kwa vipimo vya mandiko matakatifu, Kama zimekuja ili zitimize kitu hapo! Hilo ndilo tatizo lililopo, Mwenye Imani hiyo, kufa, kwake ni bora kuliko kuchanjwa!! na ndicho kinachoendelea karibu kwa mataifa yote!
  10. P

    CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

    Mkuu, jikite kuabudu mungu wako, acha wengine wamwabudu MUNGU, shida iko wapi
  11. P

    Bunge: Taarifa za Wabunge wasiopata chanjo kutoruhusiwa Bungeni hazina ukweli

    Huko ni kuongezea kile ambacho Mh Rais hakukisema, yeye alisema chanjo ni hiari basi! Hakuongeza hiko kipengele
  12. P

    Ikiwa mission ya COVID-19 ni kupunguza watu, basi Demokrasia na haki za binadamu za kijinga zinatia umasikini

    Demokrasia ni uhuru wa kufanya mambo yaliyoruhusiwa kisheria kama nchi, lakini hizi haki za binadamu ni mashinikizo na tamaduni za watu walioasi kwa MUNGU Hao watu na sheria zao, ni wanataka wawe huru kushinda hata amri za MUNGU, Ni watetezi wa mambo yote maovu, na saa nyingine, ni wachezeshaji...
Back
Top Bottom