Maisha ni kama maji ukiziba huku yanapita huku. Story ya dada cleopatra ina mafunzo mengi, kuna muda unapitia magumu sana kiasi cha kuona kama duniani umekuja kuteseka tuu.
Lakini kamwe Mungu wetu ni mkuu hawezi kumuacha mja wake aibike milele.
Nipo najiuliza hivi kama dada Cleo asingepitia...
Mzee anataka kumpa shavu BM sema hii mithiani anayompa ni kiboko awe makini hata huyo Caren ni right hand man wa mzee hiyo mithiani usikute anahusika kuitunga
Ifike mahali na nyinyi mkue kaa...yaani mtu aache shughuli zake afanye kazi ya kuwaandikia, nyinyi mnamlipa shilingi ngapi? Muacheni afanye mambo yake akipata mda atawaandikia episode mpya ukiona anachelewa acha kufuatilia sio lazima maana yeye hanufaiki na chochote wewe ukisoma.
Ukitaka kumjua nabii wa kweli muombe aisome nafsi yako, yaani unachowaza na mipango yako ulionayo....Shetani ana uwezo wa kuona future yako, mambo ya nyuma nk ila hana uwezo wa kujua kilicho ndani ya nafsi yako mpaka ukitamke au ukitende.....Hivyo nabii wa kweli wa Mungu anaunganishwa na nafsi yako.
Sijashauri tuangalie nchi nyingine yaani tu copy mfumo wa nchi nyingine bali lengo ni kuwa na mfumo wetu utaomfunya muhitimu kuwa competent na kuendena na dunia ya sasa, katika huo mfumo kidogo nimegusia nchi ya Kenya na Nigeria hada katika somo la ICT kupewa kipaumbele Msingi na Sekondari...
Habari wakurungwa wa Jamii Formu.
Nakumbuka nilipokuwa mdogo yapata kama mtoto wa darasa la tatu hivi, siku moja nilikuwa na mzee wangu akaniambia jitahidi sana kusoma kwani elimu yako ndio ufunguo wa maisha yako.
Kwa kweli sipingani na ushauri wa mzee maana miaka ile ya 2000 mwanzoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.