Recent content by ProShackys

  1. P

    Kijana kabla hujamtumia malaya hela fanya maamuzi ya kumtumia Baba/mama kwanza

    Ujumbe, makini mkuu.....Then na kwa wanawake hata kama sio malaya ukipewa pesa na mwanaume haijarishi ni kubwa au ndogo kuwa na shukrani ya dhati...kumbuka anawatu wa mhimu kukuzidi lkn amekupatia ww ambae si ndugu yake.... Wanaume wenzangu....wema huanzia nyumbani.
  2. P

    Nimepata mshangazi wa miaka 39 anataka niishi naye kwake umri wangu ni miaka 35

    Ma Majanga hayooo oho shtuka ww,,maradhi mengi saiv
  3. P

    ICT vs water supply Engineering vs Agriculture

    Kwa kujiajirii ni vema asome Agricultural Production kwa Tz bado anauwanja mpana wakufanya mambo sababu agriculture ina vitu vingi ndan yake ambazo ni fursa kujiajiri, pia ICT ni nzuri lkn yampasa aangalie ataspecialized wapii kama ni database, programmer au networker akikomaa humo soko lipo mkuu
  4. P

    Nina swali kwa Wanaomaliza form four na kuchaguliwa au kwenda vyuo vya kati

    Kwa sasa baadhi ya vyuo na course fulanii hivii ndo wapoo entitled kupata mikopo under HESLB,,ukiingia kwenye official website ya HESLB kuna guidance na qualifications za wanafunzi wa diploma kupata mkopo....ila the rest ni majukum ya mzaziii kama kawaida
  5. P

    Ushauri: Diploma ya IT ni vema kwenda Degree au VETA?

    Yeah ni right bro lkn unaweza kuwa na skills na bado zisikupatie fursa za ajira au kujiajiri compared to VETA mkuu
  6. P

    Msaada Amemaliza Diploma ya IT aendelee Degree au VETA!??

    Msaada wa ushauri wenu wakuu, mtu aliemaliza diploma ya miaka mitatu IT ni bora aende degree kuendelea kusoma au aende VETA kujifunza ujuzi mwingine?
  7. P

    Ushauri: Diploma ya IT ni vema kwenda Degree au VETA?

    Wakuu, wenye uzoefu wa elimu na maisha ya chuo msaada wenu kwa ushauri mtu alipiga diploma ya IT miaka mi3,,,heri aendlee degree au aende veta kusoma mambo mengine!?
Back
Top Bottom